Na Said Mwishehe,Mbeya
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya waliofurika Barabarani kumlaki wakati wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 05,2025.
Dk.Samia wamepata nafasi ya kusalimiana na wananchi hao na kisha kuomba kura akiwa njiani akielekea wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake ya kampeni ya kuomba kura ambako Septemba 4 aliingia Mkoa huo akitolea Mkoa wa Songwe ambako amefanya mikutano katika majimbo mbalimbali ya Mkoa huo.





Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya waliofurika Barabarani kumlaki wakati wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 05,2025.
Dk.Samia wamepata nafasi ya kusalimiana na wananchi hao na kisha kuomba kura akiwa njiani akielekea wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake ya kampeni ya kuomba kura ambako Septemba 4 aliingia Mkoa huo akitolea Mkoa wa Songwe ambako amefanya mikutano katika majimbo mbalimbali ya Mkoa huo.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...