MAKAMU wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ealipokelewa kwa heshima zote za kitaifa katika Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi leo asubuhi, wakati Kenya ikijiandaa kumuaga kiongozi mkongwe wa

Dkt. Mpango na Dkt. Kikwete, wamejiunga na viongozi mbalimbali kutoka mataifa ya Afrika na maeneo mengine duniani waliowasili kushiriki tukio hilo la kihistoria.

Sherehe hizo, zilizoongozwa na Rais William Ruto, zimehudhuriwa na maelfu ya waombolezaji kutoka makundi yote ya kijamii, zikionesha wazi ushawishi mkubwa aliokuwa nao marehemu Odinga katika safari ya kisiasa na ya kidemokrasia ya Kenya.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...