MAKAMU wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ealipokelewa kwa heshima zote za kitaifa katika Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi leo asubuhi, wakati Kenya ikijiandaa kumuaga kiongozi mkongwe wa
Dkt. Mpango na Dkt. Kikwete, wamejiunga na viongozi mbalimbali kutoka mataifa ya Afrika na maeneo mengine duniani waliowasili kushiriki tukio hilo la kihistoria.
Sherehe hizo, zilizoongozwa na Rais William Ruto, zimehudhuriwa na maelfu ya waombolezaji kutoka makundi yote ya kijamii, zikionesha wazi ushawishi mkubwa aliokuwa nao marehemu Odinga katika safari ya kisiasa na ya kidemokrasia ya Kenya.




.jpeg)



.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...