


Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid Maulid (wa pili kulia) na Bi. Bertha Mwaihojo (wa kwanza kulia) wakionesha Mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi pamoja mbele ya Vyombo vya habari, katika Ukumbi wa Mikutano, hoteli ya Stella Maris. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) Dkt. Mboni Ruzegea, wa pili kushoto ni Mgeni Rasmi wa Mahafali ya 31 ya SLADS Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Shaibu Ndemanga wakishuhudia tukio hilo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...