Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 15,2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma,ambako atashiriki Ibada ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Jenista Mhagama aliyekuwa Mbunge wa Peramiho na Waziri Mstaafu, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Peramiho.
Jenista Mhagama alifariki Desemba 11, 2025 kwa maradhi ya moyo.











Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...