NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu.
Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa, pambano ambalo lilikuwa la raundi 10 lakini kufikia raundi ya pili mnigeria huyo aliomba poo baada ya kupokea kichapo.
Mwakinyo amesema nidhamu ya mazoezi na kuheshimu mchezo ndio kunamfanya awe mshindi mara kwa mara katika mapambano yake.


BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu.
Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa, pambano ambalo lilikuwa la raundi 10 lakini kufikia raundi ya pili mnigeria huyo aliomba poo baada ya kupokea kichapo.
Mwakinyo amesema nidhamu ya mazoezi na kuheshimu mchezo ndio kunamfanya awe mshindi mara kwa mara katika mapambano yake.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...