WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi.
Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara.
Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu kana kwamba Serikali haipo.
Ameongeza kuwa Serikali imetengeneza utaratibu ndani ya nchi wa kuwa na uongozi katika kila eneo kwa ajili ya kuwarahisishia wananchi kupata ufumbuzi wa matatizo yao.
“Hatukutengeneza ofisi hizi za Serikali ili kugawana vyeo. Ninawahakikishia tukianza kufuatilia tutajua nani anaweza kazi na anastahili kukaa ofisini.”
Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara.
Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu kana kwamba Serikali haipo.
Ameongeza kuwa Serikali imetengeneza utaratibu ndani ya nchi wa kuwa na uongozi katika kila eneo kwa ajili ya kuwarahisishia wananchi kupata ufumbuzi wa matatizo yao.
“Hatukutengeneza ofisi hizi za Serikali ili kugawana vyeo. Ninawahakikishia tukianza kufuatilia tutajua nani anaweza kazi na anastahili kukaa ofisini.”



.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...