Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Kenya
Mhe. Dkt. William Samoei Ruto mara baada ya kuwasili katika viwanja
vya Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kitaifa tarehe 04 Mei, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kitaifa tarehe 04 Mei, 2026.

. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto wakati wimbo wa Taifa ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 04 Mei, 2026.


Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akikagua Gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 04 Mei, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akisalimiana na viongozi mbalimbali waliofika kumpokea katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 04 Mei, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto wakati wakielekea katika ukumbi wa Kikwete kwa ajili ya mazungumzo, tarehe 04 Mei, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 04 Mei, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 04 Mei, 2026.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...