Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Ashatu Kijaji(Mb) amesema, wizara hiyo kufikia Aprili (2025/2026) katika kudhibiti changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu, kwa kushirikiana na wadau imewafunga mikanda ya visukuma mawimbi tembo 51 viongozi wa makundi katika Halmashauri mbalimbali nchini.

Vilevile, simba 20 katika Hifadhi za Taifa za Nyerere, Ruaha, Serengeti na pori la Akiba Maswa wamefungwa mikanda ya visukuma mawimbi.

TAWIRI ndio injini ya kutoa ushauri wa sayansi ya wanyamapori  kwa Wizara ya Maliasili na wadau wengine.








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...