Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ametembelea banda la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika Mei 6, 2026 jijini Dodoma, ambapo alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali zinazooneshwa na taasisi hiyo, kwa lengo la kufahamu mchango wao katika maendeleo ya sekta ya elimu.
Mkutano huo wa wadau wa elimu Mkoa wa Dodoma umefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, ukiwa na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji wangu ni msingi wa kuinua ubora wa elimu Dodoma,” na mgeni rasmi alikuwa Waziri wa TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe.


.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...