MERIDIANBET imeendelea kuwa karibu na jamii kupitia shughuli zake za uwajibikaji wa kijamii (CSR), safari hii ikielekeza nguvu zake Hospitali ya Kinondoni. Hii ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya kwa wananchi.


Ushirikiano huu ulianza baada ya mazungumzo kati ya uongozi wa Meridianbet na Hospitali ya Kinondoni, ambapo changamoto mbalimbali zilifanyiwa tathmini ili kuboresha huduma kwa wagonjwa.

Vilevile, meridianbet wana michezo mingi ya kasino mtandaoni na mechi za kimataifa za kubashiri zenye ushindani mkubwa wa odds. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya MERIDIANBET au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Akizungumza wakati wa makabidhiano, mwakilishi wa Meridianbet, Nancy Ingram, alisema sekta ya afya ni moyo wa jamii na inahitaji kuungwa mkono na wadau mbalimbali ili kuongeza ufanisi.

Hospitali ya Kinondoni ilipokea msaada huo kwa furaha na kuishukuru Meridianbet kwa mchango ambao utasaidia kuboresha mazingira ya kazi na huduma kwa wagonjwa.

Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya biashara yanaweza kwenda sambamba na kusaidia jamii na kuchochea maendeleo endelevu nchini.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...