
Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya Sabasaba 2026 na kupata maelezo kuhusiana na Majukumu na utendaji kazi wa Ofisi hiyo na kukabidhiwa Mfuko wenye ujumbe wa Dira 2050 Wekeza Tanzania.
Aidha, Naibu Waziri Dennis Londo amepongeza utendaji kazi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uwekezaji na kuanza kwa utekelezaji wa Dira 2050 ikiwa ni injini ya kukuza uchumi wa Nchi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...