Matukio mbalimbali katika picha yakimwonesha Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, SACP Jumanne Muliro na Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha vyuo na vyuo vikuu Asha Feruzi Leo tarehe 6 Julai, 2026 walipotembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji (ORMU,) katika maonesho ya Sabasaba na kupata maelezo kuhusiana na shughuli zinazofanywa na Ofisi hiyo.















Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...