Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwajulisha wananchi na walipakodi wote kuwa ofisi zake katika mikoa yote nchini zitakuwa wazi kesho, Jumamosi, tarehe 29 Agosti 2026 Kuanzia saa 2:30 asubuhi mpaka saa 11 jioni kwa ajili ya kutoa huduma za kikodi.
Wananchi na walipakodi wote mnakaribishwa kufika katika ofisi ya TRA iliyo karibu nawe kupata huduma mbalimbali . Pamoja tunajenga Taifa Letu.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...