Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) Bi. Amy E. Pope, tarehe 17 Agosti,2026 Ikulu Ndogo, Zanzibar.
02: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) Bi. Amy E. Pope, tarehe 17 Agosti,2026 Ikulu Ndogo, Zanzibar.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...