
Benet na JMK ndo hiyo tena. Picha ingine chini inahusu siku tuliyokwenda naye kuangalia madhara ya mafuriko huko jimboni kwake Chalinze. Maji yalijaa kibao kila sehemu ikabidi tukodi mtumbwi, madereva sie waandishi. Picha hiyo ya chini ilitoka jana 24/12/05 ukarasa wa mbele gazeti la Majira. Jamaa alinipigia simu kuhoji kama nimeiona. nikavunga nami pia nilitaka kupiga ila sina namba yake. tukacheka sana.
Mh, michuzi nawe si haba.
ReplyDeleteMichuzi, safi sana.
ReplyDeleteMbona huyu dada hapo kwa pembeni umemkata!
Tunashukuru sana mkuu kwa picha na habari motomoto.
Nakutakia kila lakheri na maandalizi mema ya kukaribisha mwaka mpya wa 2006.
Mwenyezi Mungu akulinde na akujalie neema zaidi wewe pamoja na familia yako na marafiki zako pamoja na mahasimu wako!
Hi Michuzi,
ReplyDeleteNaona umetoka kwenye picha uliyopiga na Rais Kikwete. Msalimie sana.
Napenda sana kutazama picha zako! Endelea na kazi nzuri, best wishes!
Michuzi,
ReplyDeleteMwambie Rais awe anapitia na huku kwenye blogu zetu.