
Mama Anna Mkapa akimuamkia Mzee Rashidi Mfaume Kawawa huku Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na aliyekuwa Mshauri wa Siasa wa Rais Mzee Kingunge Ngombale Mwiru na mkewe kawawa wakiangalia Ikulu Dar. Kuna uvumi uliosema Mzee Kawawa amefariki na hii ni picha ya karibuni (21/12/05) mara baada ya kutoka India kwa matibabu.
samahani ndugu wanablogu! hivi ni kitu gani kilimfanya mzee kawawa aitwe simba wa vita? - ni kulimiliki vizuri lile igizo la mwalimu kujiuzulu na kumkabidhi na kisha kumrudishia tena ukuu? - maana sasa inabidi kuanza kuchuja haya masimulizi isije ikawa yale yale ya kila mzazi kudanganya watoto wake etri alikuwa anakuwa wa kwanza darasani kila mara! je nani alikuwa anakuwa wa mwisho?
ReplyDeleteninaombeni maelezo wanablogu!
cheers
Mimi nimesahau asili ya jina hili lakini kwa leo "Long live Simba wa Vita"
ReplyDeleteHivi mna habari Mzee ruksa ni mkubwa kiumri zaidi ya Mzee Kawawa?
ReplyDeleteDuh!
ReplyDeleteSasa anonymous unazua mjadala mpya! lakini nadhani mtu wa kutusaidia katika kupata ufumbuzi ni MICHUZI anayejigamba kugongana nao mabega kila mara IKULU. ni bora awatafute afanye nao mahojiano atuondoe gizani.
Mbona mzee kingunge anamuangalia sana mke wa kawawa???????
ReplyDeletewe mwache aende ovyo! na hawa wazee walizoea....makiambiwa....hawaelewi somo!!
ReplyDelete"Simba wa nyika'ni jina lilo toka na uchezaji wa cinema,(Hollywood ya bongo) kabla ya kukutana na Mwl,Nyerere
ReplyDeletesasa ma'mkapa anamwamkia mzee kawawa, na je ma'kawawa atamwamkia ma'mkapa?????
ReplyDeleteKatika CInema Rashidi Kawawa alitumia jina la Muhogo Mchungu mie sijawahi kusikia alitumia "Simba wa Vita" labda hili lina asili yake ambayo labda Michuzi anaijua
ReplyDelete