Home
Unlabelled
dojo la houston
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Correction: Brother Rumadha anaishi Dallas. Brother poa sana, ila lazima ajikinge. Hongera
ReplyDeleteajikinge na nini tena? umetuachia hewani.
ReplyDeleteBONGO KUNA WATU WANAJUA KUPIGA, KAA HUKO HUKO BWANA, BONGO UTAPIGWA KICHWA KIMOJA TU, UTASAHAU DOJO YOTE.
ReplyDeletekwa taarifa tu rumadha ni mzaliwa kariakoo na uhuni wote anauijua, acha hiyo kuwa fiti. lakini yote tisa, silaha yake ya kwanza, kama ilivyo mwanakarateka yeyote mzuri, ni kujikinga. hivyo ukimwingia atakimbia na wala hatoona noma kuchekwa. ila wewe utaiona hiyo noma usipokoma kumuacha peke...
ReplyDeletepia karate si ugomvi, ni mchezo wa kijuweka fiti kama michezo mingine, ila sema una ongezo la kujikinga. wachezaji wake, hasa wenye darasa kubwa kama rumadha huwa mabwege mithili ya chui aliyenyeshewa...
ashakula sana bagga huyu, kalainika uswazi kuna watu wama miili ya chuma.
ReplyDeletemuulize sensei mawala