hivi ndivyo mzee wa sumo na mwenzie walivyoumizwa na askari magereza walipoenda kukava raia wanavyoondolewa kwa nguvu kwenye nyumba zilizokuwa za atc na kununuliwa na magereza kule ukonga. kesi iko inanguruma mahakamani kwani askari jela waliohusika walishtakiwa. hatima ntawajulisha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Uhuru wa vyombo vya habari bado sana bongo. Hivyo waadishi you need to take precautions. Nimefurahi kwamba jamaa amepona na alikuwa anaimba Jojina juzi, pole kwa NO SMOKING iliyokukuta mzee wa sumo

    ReplyDelete
  2. cha moto alikiona, hata rudia tena huyu, amekoma. mwangalie huyo mwenzake fulana yake ilivyochanika kaa sketi huku analia. mkome nyie.

    ReplyDelete
  3. Mimi naona aache kucheza sumo na ajifunze karate itamsaidia kujilinda. Sumo uzushi. Nadhani inatakiwa Michuzi umpe siri ya wewe kutopewa kisago!! Mkanda wa kahawia.

    ReplyDelete
  4. Yaani wakome kusaidia raia au?

    ReplyDelete
  5. Sawa kabisa ajifunze mkanda wa kahawia, michuzi na kitambi chake lakini anachomoka kama mshale, mambo ya kahawia hayo!

    ReplyDelete
  6. Aisee... this is very disturbing. Pole sana Mpoki.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2006

    MAMAAAAAAAAAAAA!YAANI WAMEKUUMIZA NAMNA HII?POLE!ASAVWALI MIE WAMECHANA SHATI TU!NEKSTI TAIMU TUWE NGUNGULI NA TUPIGE GWANDA KABISA!
    BRO,POLENI BWANA.

    ReplyDelete
  8. mkome nyinyi waandishi mmezidi kimbelembele, sisi maasikali tutakua tunawapa misumali kwa kwenda mbele tu - Sajenti Mwita

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 26, 2011

    Yaani jamani Africa, ni lini tutajifunza kuheshimu haki za binadamu, hasa viongozi na walindao usalama? Nilikaa Tnzania miaka 15 na mara nyingi nilishudia unyama kama huu ukifanywa na askari polisi, ila kumbukeni hata sheria ya nchi yenu haikubaliani na haya, iheshimisheni sheria ya taifa lenu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...