ledi jei dii akiwa na machozi sistaz pamoja na machozi bend jukwaani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. hivi hii band yake haifanyi maonesho kama bendi nyingine mfano Twanga, Msondo na kadhalika kama wanafanya naombeni ratiba yao ya wiki. Kuna nyingine inaitwa Top Band ya TID nayo hivyohivyo au zina piga sehemu maalum tu na kwa mialiko rasmi

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2006

    Jamani pamoja na kwamba usanii ni ajira naona kwa nchi masikini kama yetu mambo ya anasa[mabaa,clubs,bendi n.k]yamezidi.Vijana someni kwanza!Wazee sheghulikeni na mambo ya maaana!
    Tall.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2006

    WEWE ANYM 10:30,WASOME KWANZA NINI?KWANI HICHO WANACHOFANYA SIO ELIMU?WEWE ELIMU KWAKO NI BAIOLOJI,FISIKIA AU KUKAA DARASANI UPATE KARATASI.
    KOFI HAJASOMA?PAPA WEMBA HAJASOMA?(SITAJI WAZUNGU)
    LABDA UTOE USHAURI KUWA WAJIENDELEZE ZAIDI KATIKA HIYO FANI YA MUZIKI.
    TOFAUTISHA KIPAJI NA AJIRA.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 15, 2006

    wanamuziki wa kibrazili wakimuimbia mama rose asha migoro

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2006

    Wewe acha hizo, Papa Wemba shule imeenda usimfannanishe na wajinga wajinga wengine.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 16, 2006

    we anony 12.30 tafiti kabla ya kubwabwaja. kofi umsemaye kama ni olomide soma hapa. siwezi kutafsiri kwa kiswahili sanifu kwa kuwa lugha yangu ya kwanza ni kichaga. tafasali nduku yangu.

    http://www.panafricanallstars.com/biography/kofiolomide.asp

    ReplyDelete
  7. Wewe anony 12:20 Nani kakuambiwa Kofi hajasoma? Kofi kasoma mambo ya Economics yule kabla hajageuzia kibao kwenye music. Pia kufanya music hakumzuii mtu kusoma siku zote formal elimu ni muhimu kwa faida yako. Wanamuziki watakuwa wanamuziki wazuri zaidi kama watakuwa wanamuziki wasomi.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 16, 2006

    If education is the key why they make so expensive? Give them the key.
    sam

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 16, 2006

    NIMEKUULIZA;HAJASOMA?MAANA YAKE NI KWAMBA PAMOJA NA ALIYOSOMEA,AMEAMUA KUPIGA MZIKI KWA KUWA KWAKE NI KIPAJI NA ANAONA NDIO KINAMLIPA. POLE KWA KUMISIANDASTENDI!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...