hapa tunajichana mjini nice, ufaransa, mwaka 1993 wakati huo ismail aden raggeh akiwa ni katibu mkuu wa simba. simba ilikuwa imealikwa hapo kwa mazoezi kujiandaa kukabiliana na stella abidjan

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2006

    Bw.Michuzi huyu Rage wakati huo sio kwamba alikuwa kiongozi wa DRFA?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2006

    mzee nilikuomba picha ya simba na stella sikupata majibu, labda haukuona message yangu. Tuionyeshe kina boli zozo mzee. Hata hivyo nitajaribu kuwasiliana na wewe kwa simu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2006

    Ismail Aden Rajje!!! ananikumbusha songi la kikundi fulani cha wazaire wa bongo (Nimesahau jina la kikundi)

    ReplyDelete
  4. Pamoja na kwenda kupasha misuli moto huko Ufaransa Simba wakakeketwa tu, bila ganzi.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2006

    Mwaipopo umetumia anony kwa muda mrefu uzalendo umekushinda umeamua kutoka live kwa passport size yako. Karibu sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...