Home
Unlabelled
ubungo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ujambazi ulitokea njia ya kwenda Mwenge sio hapa.hii picha imetolewa kwa sababu ya mandhari nzuri ya barabara pamoja na miti, na hiki hapa kulia ni kiwanda cha Thomas Lyimo, hapa palishutumiwa kwamba ndipo palipo tengenezwa bomu lililo lipua ubalozi wa USA mwaka ule
ReplyDeleteHapo ni Kimara lakini heading ni Ubungo.
ReplyDeleteTrafiki wamejificha nyuma ya miti, magari yanapita katika njia za waenda kwa miguu. Miruko
ReplyDeletehhiyo picha inaooonyesha kwa jinsi gani dar inavyoonkana imetulia kwa mbali lakini ukiingia ndani utayo yaa kuta nime ngi zaidi
ReplyDeleteBwana Michuzi hapa kisicho cha kawaida naona upande wa kulia ni ile DCM nyuma ya lori la bluu ambayo inakwenda kinyume na magari mengine.
ReplyDeleteSi mbaya kama utatutegulia kitendawili chako.
angalia mwanafunzi karibu na mti
ReplyDelete