Home
Unlabelled
fm akademia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hawa jamaa sio tishio kwa Twanga bali wana jaribu jaribu, kwanza ukumbi wanaotumia ni wa ASET halafu walikaa muda wa miaka minne bila kutoa albam wakati twanga kila mwaka wana album na zina hit, pia miziki yao inatofauti kubwa. Ila jamaa wanatisha kwa kupiga pamba na bendi yao haina mateja na walevi kama twanga na jamaa wanajua kujituma jukwaani na wanamuziki wote wanafika ukumbini at time, twanga mpaka saa 6 usiku ndio unawaona mastaa wanaingia
ReplyDeleteRhxogsa, mimi sizijui bendi zote hizo zaidi ya kuwaona kwenye VCD na kusikia CD zao. Ila kutokana na uliyosema hapo juu, hayo tu inamaanisha ni tishio. Kama wenzio wanajituma na si walevi wala mateja, it is just a matter of time watakupiku kama hujirekebishi. Peace.
ReplyDeleteMbona hao watu wenyewe wanaonekana wamechooooka! Kwa nini msiwalishe lishe kidogo kwanza?
ReplyDelete