Home
Unlabelled
ndoa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hey Michuzi hii ni picha safi sana kwa sisi......nice memory!
ReplyDeleteHivi mke wake yu hai? je watoto wake?
ReplyDeletesijawahi kuona wanawake wazuri kama wasichana wa miaka ya sitini na sabini jamani mhh hata wasichana wa sasa hatuko hivyo najaribu kufikiria sana na hiki kitu kinaniumiza kichwa tukianza kufika 50's tutakuwaje? VITUKO.....
ReplyDeleteUnajua kwa nini sista hapo juu? wasichana wa miaka ya sitini na sabini walikuwa hawataki kufanana na beyonce wala jlo. Walikuwa wao ndio wao. Wasichana wa siku hizi, rangi ya sura feki, nywele bandia, uanamke wake unanuka kwa kuvaa mavazi ya nchi za baridi ndani ya bongo, basi ili mradi vurugu mechi tuu.
ReplyDelete