samahani sikuwa fea kwa kutowaweka hawa bukina faso jana. vidole viliteleza na naungama sikucheza fea plei

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Waungwana ni kulikoni mbona wachezaji wetu wa siku hizi mili ni midogodogo mno? na kama hawana afya? tizameni hawa? sina nia mbaya nauliza tu, maana zamani tulikuwa na vibonge vya watu, i.e Kapera, Zimbwe, Masimenti, Peter Tino na wengineo hata wale wafupi walikuwa na afya lakini wa leo vipi?

    ReplyDelete
  2. Kaka hawa sio wachezaji wetu, ni wa burkina faso. Vilevile umbo siku hizi sio kigezo pekee cha kuuweza mpira. Ona wachezaji wengi wa timu ya taifa ya England wanaopapatikiwa bongo wana maumbo madogo (Wright-Philips, Defoe, Joe Cole, Aaron Lennon, Owen, na kadhalika)

    ReplyDelete
  3. Hii kali kwa kweli, duh!!! Teh teh; mambo ya kukurupuka hayo, tunasema kila siku, msikurupuke jamani...haya anonymous wa kwanza umeumbuka:-)

    ReplyDelete
  4. kwa kweli kama sisi wa Tanzania tumeze kuwafunga hawa Burkino faso basi ujue hakuna team itakayo weza kutuzuia hapo mbele. kwani sasa hivi naona ni zamu yetu,kutesa kwa zamu,oyaaa TAIFA STARS mungu ibariki Tanzania yetu

    ReplyDelete
  5. Anon wa kwanza hajakosea HAKUSEMA WACHEZAJI WETU WA TANZANIA BALI WACHEZAJI WETU WA SIKU HIZI.Haya kati yenu nani KAKURUPUKA!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...