Home
Unlabelled
kizimbani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzee wetu alitoka mbali. Alipata misukosuko ili tuwe huru. Jamani tumuenzi JK Nyerere. Alijitolea kweli kweli.
ReplyDeleteNyerere alikuwa ananiua sana na kifimbo chake.Naona hakuna mwanasiasa mwingine ambaye kaamua kubeba kifimbo.
ReplyDeleteumewasahau wazee wa africa wenyewe according to them...na manguo yao makubwa ndani wameficha uchawi tuuuuu!!!NIGERIA
ReplyDeleteSamora na mavazi ya kijeshi!!
ReplyDeleteMICHUZI HUYU PEDEDJEE WA KIZUNGU ALIKUWA ANAITWA WAKILI NANI?
ReplyDeleteMAANA HIYO MUNDENDE KWA FASI YA TUMBO SI MCHEZO.
HALAFU HUYU JAMAA ANATWAMBIA HABARI ZA BANZA MCHAFU HAPA SIO MAHALA PAKE. KAA CHONJO.
Rattansey (wakili wa Kihindi - Tanganyika), Pratt (wakili kutoka Uingereza kwa ukarimu wa Labour na Liberal Party- Uingereza) Nyeyere, na Jahveri (wakili wa Kihindi - Tanganyika).
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteUkiweza kutupatia habari au picha za huyu Mwinjuma Omari itakuwa tutafurahi sana.
Kuhusu marais wa Afrika: Kaunda alikuwa na leso nyeupe aliyokuwa akiifunga kwenye kidole cha kati (kama sijakosea ni kidole cha kati).