Home
Unlabelled
wabongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi pls, give and tell us a meaning.
ReplyDeleteThe caption explains everything, what more do you want?...Geez weez....
ReplyDeleteMechi ya Argentina na Brazil, tena ya kirafiki, halafu bendera ya Tanzania, na maelezo yako yanazidi kutuchemsha hatuivi tu!
ReplyDeletetoo bad....
ReplyDeleteteteh tupo tayari kuonekana kwenye blogu ya bwana Michuzi, Piga haraka bwana hiyo picha tu e-mail kwa michuzi watuone tupo kwa queen.
ReplyDeletewatanzania wivu wivu tu, siku ile ya mechi hata mimi niliwaona watu kibao wakiwa na bendera za nchi zao, acha JAPAN hata Wachina. mimi naona wanaopinga watanzania kuwa kupeperusha Benndera ya nchi yao ughaibuni ni wale waoficha utaifa wao. Watu wanastick hata bendera za Tanzania ktk Number plate za magari yao ughaibuni? sembuse mpirani? Kinachonisikitisha MICHUZI anatuletea picha hata za Harusi halafu watu wanaanza kusema eti yule ni mwizi sijui anabeba Ma-box Acheni hizo muwe kama wa-Kenya hawaoni aibu kutangaza nchi yao hata wanadiriki kutuibia mlima wa kilimanjaro. hongera michuzi zidi kutuletea picha za wabongo tufurahi.
ReplyDeletehawa jamaa washamba kweli jamani!!
ReplyDeleteNia yao waonekane tu na washamba wenzao kuwa waliudhuria hiyo mechi na wasisahaulike kuwa Ni watanzania ingawa wamejilipua miaka kibao iliyopita.Ona walivyokomaa kwa kubeba Box??
MSIWAONEE WIVU, NAJUA WENGINE WANATAMANI KWENDA KUONA MECHI LAKINI HAWANA UBAVU. SI HERI WANABEBA MABOX? WENGINE WANATAMANI KUBEBA HATA HAYO MABOX HAWAYAPATI.
ReplyDeleteHawa Wabongo lazima watakuwa WAHAYa!
ReplyDeleteukabila!!! naona mtoa maoni bado una mawazo ya miaka ya 47. Tanzania tumeishasahau ukabila
ReplyDelete