msibani lidaz klabu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 41 mpaka sasa

  1. Kwani walikuwa wanyaji? Swali tu jamani mnielewe. "Leader's club".

    ReplyDelete
  2. Sprry wanywaji

    ReplyDelete
  3. Leaders club, sio ya wanjwaji tu. this club initially was for leaders and their family clubfor socialliting ie sport, jucst chilling and of cause moja baridi. ni siku hizi tu wakina yahe wa mitaa ya kati wameingialia alafu wanaususu kinywaji....hili ni jibu tu jameni

    ReplyDelete
  4. Daima Walter na Vonentha tutawakumbuka hapa Marekani mmekuja kutafuta elimu na Maisha hapa lakini kwa Mapenzi ya Mungu wamechukua roho zenu ,Kwa kweli kwa wale tuliowajua hamkustahili kututoka namna hii lakini tufanye nini sisi ni waja tuu sisi tuko nyuma yenu na wahusika wa matukio haya tutahakikisha wanafika kwenye sheria maana inauma sana

    ReplyDelete
  5. Walter and Vonetha may our Almighty God rest their souls in eternal peace.

    ReplyDelete
  6. Ni kweli kabisa ulicho sema Mizzou huko nyuma Kikwete nadhani ameona noma hata kuuzuria huu msiba kwa sababu alikuwa huku hakutaka hata kuulizia ama hata kuongerea huu msiba alipo kuwa huku aliishia kutalii na kupose katika mapicha na mwanaye na wakina michuzi kazi kutafuta sehemu za kwenda kula futali na kwenye BBQ ya shoka, matokeo yake ameamtuma salma auzurie.

    ReplyDelete
  7. Ni kweli rais wetu KIKWETE AMETIA AIBU kweli kama si binadamu tena wananchi wako watoto wawili hawa wameuwawa kikatili na alikuwa hapa USA ingekuwa ni Marehemu MWALIMU NYERERE au na uhakika hata MKAPA angeulizia hili jambo wakiwa hapa kwa ziara na kukuta habari za kusikitisha hivi wangeliongelea na ingesaidia hata kwa watu waserikali hapa kufuatilia kwa makini kwani rais wetu ameonyesha utu. Lakini hata nadhani wanatucheka maana ilijulikana wazi rais wetu yuko hapa hapa marekani na wananchi wake maskini Walter na Vonetha wameuliwa LAKINI WALA HAKUWA NA TIME YA KUULIZIA WALA KUWA KARIBU NASI NDUGU NA JAMAA NA MARAFIKI. Kazi yake ilikuwa kuonekana na kina Michuzi na wanawe na kula futari. Mungu atakulipia Kikwete kwani wananchi wamekuchagua wakidhani wewe una utu kama Mwalimu Nyerere.

    ReplyDelete
  8. ONA MAGAZETI YETU NYUMBANI BADALA YA KUTOA MAONI YA VIFO VYA WABONGO NA KUFUATILIA KULIKONI ONA SASA....

    Muaji Marekani alikwisha walawiti watoto wa familia yake

    2006-10-04 17:37:40
    Na EAR Habari


    Habari kutoka nchini Marekani zinasema kwamba mwanaume aliyewaua wanafunzi watano wa kike wa shule ya Amish katika jimbo la Penn Sylvania nchini humo kwa kuwapiga risasi, alimwambia mkewe kwamba amewahi kuwalawiti watoto wawili wa familia yake miaka 20 iliyopita.

    Imeelezwa kwamba Bw. Charles Carl Roberts ametoa madai hayo kwenye simu wakati akiongea na mkewe, kabla ya kuanza kuwapiga risasi wanafunzi hao wa kike.

    Aidha katika maongezi hayo Roberts amekumbushia tukio la miaka ishirini iliyopita la ujumbe wa kutaka kujiua, na kudai kwamba amekuwa akisumbuliwa na ndoto za mara kwa mara za kutaka kurudia tendo hilo.

    Polisi nchini humo wamesema kwamba huenda mashambulizi yake kwa watoto hao wa kike yalichangiwa na matakwa ya ngono.

    SOURCE: EAR

    ReplyDelete
  9. MICHUZI HIVI KWELI WEWE UNA AKILI TIMAMU? Kitu gani hiki sasa una post katika hii blog yako kipindi kama hiki? Mbona usijibu shutuma unazo pewa na kina mizzou sijui akina nani ni ya kweli hayo?

    ReplyDelete
  10. MAPIGANO NAKUUNGA MKONO NDUGU YANGU, huyu bwana Michuzi ni mluluga fulani hivi, badala ya kuweka maoni ya maana kitu gani sasa hiki anaposti katika bulogu hii, katika kipindi hiki kigumu? Anashangaza sana ndio maana huwa anachagua maoni ya kupost kama watu wengine anaowaona kama maselebriti hapa mjini wanamhonga pochi ya kisawasawa halafu anaamua kuwahifazi na kuwafagilia kama wakina Rupia yule Peter kamhonga sana huyu Michuzi na ametoa odas maoni nyeti ya Peter yasitolewe laivu. Hapa juu anajitolea maoni ya taarifa ya mtu mlawiti aliyewapiga risasi watoto wa kike marekani inahusu nini? kama wewe kweli jonalist nenda basi kainvestigeti na usaidie kupata ukweli kwanini wananchi wetu wapendwa Walter Mazula na Vonetha Nkya wameuwawa kikatili hivi. Na pia toa data za ukweli wa mshakaji anayekuhonga Peter Rupia kuna habari nyeti zimetolewa alikuwa anaplani kumuua Shena Sinare kwa kuwa anatoa siri zake mpaka za uumeni.

    ReplyDelete
  11. ILANI

    WADAU, HUYO 'michuzi' HAPO JUU SI MIMI. NI IMPOSTA AMBAYE NIMESHAMJUA NA SINA HAJA YA KULUMBANA NAE ZAIDI YA KUWAOMBA MUMPUUZE KWANI NI TABIA YAKE KUJIPACHIKA MAJINA YA WATU ILI AWAVUNJIE HESHIMA ZAO. ALIISHAJIITA HASHEEM, JAKAYA KIKWETE, LOWASSA NA SASA ANARUDIA TENA JINA LANGU.

    MIMI SIMJALI NA WALA HANIKATISHI TAMAA KWANI NDIO KWANZA ANANITIA MOYO KUONA KUMBE KWELI KUNA WENYE INDA YA MAFANIKIO YANGU HAYA KIDUCHU YA KUWEZA KUPATA WADAU KIASI CHA 300,000.

    NAWAATAKA RADHI KWA USUMBUFU NA NAOMBA PUUZENI KILA JINA LANGU AMA LA MWINGINE LIKITOKEA KWENYE COMMENT. MIE NIKITAKA KUJIBU JINA LANGU LINATOKA NAMNA HIYO HAPO JUU.

    MENGINEYO SINA HAJA KUYAJIBU KWANI SI MAPYA. PIA KUANZIA SASA ENDAPO NITATAKA KU-KOMENT NITAWEKA PICHA YANGU KWANZA. HIVYO ANAYEJIFANYA MIMI ATASHUSHUKA

    ReplyDelete
  12. Sasa sisi tutajuaje kama wewe ama huyo hapo juu ni michuzi gani wa Ukweli maana wote mnadai ni michuzi? Hatuwezi kumpuuza wewe umekwisha ambiwa uchuje pumba zinazo wekwa humu hutaki, hakuna haja ya kubishana sisi wote tunaamini huyu bwana ni MICHUZI na anatoa pumba zisizo za msingi... Kama usha mjua kwa nini usimdhibiti? Sidhani kama huyu MICHUZI ni wewe nadhani aliye toa hiyo comments za watu kulawitiwa ni MICHUZI WA UKWELI!!

    ReplyDelete
  13. MICHUZI NAKUPA PONGEZI KWA HII BLOG YAKO. INATUUNGANISHA SANA WAPONGO. NATUNAJUA KILA KITU KIZURI KINA UBAYA WAKE. HII BOG INATUMIKA KUELIMISHA NA KUTOA INFO IN SHORT SPACE OF TIME AT THE SAME TIME INAZALILISHA WATU, THOUGH I MUST POINT UOT, KUELIMISHA INA OVERWEIGHT UMBEA. HENCE WELL DONE, ASANTE SANA. SASA KUHUSU HUU MSIBA NAKUONA HUKO KARIBU NA FAMILIA, UNAONAJE UKIANZISHA PETITION WATU WASIGN TUOMBE UBALOZI WETU WA MAREKANI OR EVR I DARE TO SAY SERIKALI YETU IHAKIKISHE HAO MAJANGILI WANAPELEKWA MBELE YA SHERIA. REGARDELESS OF WHAT HAS BEEN SAID, MAREHEMU WALIFANYA NOBODY HAS THE RIGHT TO TAKES SOMEONE ELSE LIFE. WITH MY MOST CONCERN IS FOR THIS PEOPLE TO BE BROUGHT TO JUSTICE. NAJUA WATU WAMEIMBA SANA WANATAKA "KU-LEARN" OF WHAT HAPPENED. I BELIEVE WE ALL KNOW THAT WE OUGHT TO LIVE AS LAW ABIDING PEOPLE, ndio sometime we might take a wrong move ndio hiyo tena inabidi tuishi na haya madhala. haya Tumrudie MUNGU, tunyooshe mihangaiko yetu. MICHUZI HANZISHA HII PETITION PLEASE.MUNGU IBARI TZ, NA WATU WAKE!!

    ReplyDelete
  14. MIMI NAAMINI MICHUZI WA UKWELI NI HUYU MICHUZI WA SASA ALIYEJIBU NA JINA LA MICHUZI MAANDISHI YAMETOKA KWA RANGI YA BLUU. NAAMINI YULE WA KWANZA NI ZUGA. MAANA NAJUA LUGHA ANAYOITUMIA MHESHIMIWA MICHUZI. KISWAHILI CHAKE CHA FASAHA.
    ACHENI KUTAKA KUMWARIBIA MICHUZI HII BULOGU JAMANI, HAMTAWEZA. HUYU NI MWANDISHI WA HABARI JONALIST KIKONGWE NA MNAOINGIA HUMU HATA KUPAKAZIA PETER RUPIA AMEHONGA PESA ILI ASIYATOE MAONI YAKE, BWANA ACHENI MANENO, HAKUNA ANAYEMHONGA MICHUZI, KAMA MMEFATILIA MAONI TANGU MWAKA JANA WATU WALIZIDI SASA KUMSAKAMA PETER NA MPENZI WAKE IRENE. WATU WAKACHOKA AMBAO HATA HAWAWAFAHAMU HAWA WATU IKABIDI TUINGILIE KATI NA TUNAAMINI TUMEFANIKIWA KUWAKOMESHA WAMEKOMA NAAMINI HATA MICHUZI MWENYEWE ALICHOKA NA WATU KUWASAKAMA HAWA WAPENDWA. NDIO MAANA MAONI MABAYA KUPITA KIASI MNAMO MWEZI WA SABA YAKATOLEWA NA WANANCHI WENGI WALIINGILIA KATI. KULAANI MAONI YALE NA KUMSIFU MICHUZI KWA KUYAFUTILIA MBALI. TUJIFUNZE JAMANI, ACHENI KUINGILIA MAMBO YA WATU HASA PALE KUMSEMA NA KUPAKA MAMBO YA UONGO ILI TU KUMPA SIFA MBAYA KIJANA WA WATU. YATAWASHINDA. SASA MMEANZA TENA HABARI HUMU KUMSINGIZIA KIJANA WA WATU KUWA AMETISHIA KUMUUA KINYAN'GANYIRO YULE MPENDA SIFA SHENA SINARE. HIVI HAMNA UTU NA FADHILA YA UBINADAMU KUTUNGA MAMBO KAMA HAYA. MWACHENI KIJANA WA WATU NI WIVU TU UNAWASUMBUA WENYE AKILI TIMAMU WANAJUA UKWELI.

    ReplyDelete
  15. Lakini jamani ubishi unatoka wapi? MICHUZI wa kwanza yeye amesema magazeti yetu yametoa pumba badala ya kuandika story za marehemu na maendeleo ya upelelezi yanaandika story ambazo hata ukifungua BBC utaona..hii ndio kasumba tuliyo nayo...magazeti yetu hayahangaiki kusaka habari...hapa marekani kuna 'White supremacy' wakati mwingine masuala ya Weusi yanazimwa chini chini.Unakumbuka kesi ya Diallo (Senegalise)??

    ReplyDelete
  16. Hii kazi Bw. Michuzi anafanya kwa kujitolea lakini nashangaa wanajitokeza watu wanaanza kumpakazia maneno ya ajabu ajabu. Hivi kwa mfano Michuzi akiamua kuacha kupost picha kwenye hii blog yake mtasemaje? Tuweni watu wa ku-appreciate kazi za watu na kumpongeza pale inapobidi. Hongera sana Bw. Michuzi na Mungu akubariki.

    ReplyDelete
  17. Masikini ndugu yangu Michuzi umepewa changa la macho hapa kila mtun ana maoni yake lakini kikubwa ni kwamba ukubwa ni jalala kila mtu anatupia taka zake hapo iwe kinyesi, matapishi na kadha wa kidha ili mradi kila mtu na mtazamo wake.

    Lakini jambo moja nilitaka kulijua ni muda mfupi nilikuwa nabadilishana mawazo na Bw. Msangi Rama juu ya kifo cha wachumba hawa huko majuu ni keli hawa vijana wamekufa kifo cha kusikitisha lakini kuna nini nyuma ya pazia.

    Tungejiuliza kitru kimoja hivi Mmarekani mmoja angeuawa kinyama hapa kwetu ni nini kingetokea kama si maFBI na MaCIA kuja kufanya uchunguzi juu ya vifo hivyo.

    ReplyDelete
  18. Mungu Aziweke pema Peponi Roho za wapendwa ndugu zetu!
    Lakini wapendwa katika Bwana na ktk Tanzania; nasikitika sana kwa MISIBA mikubwa inayotokea hasa huko majuu pale watu wanapouawa kwa kikatili na kwa uonevu, kama vile kule Rusia (Moscow na St. Petersburg), pale Warsaw-Polland, pale Pretoria na Capetown -South Africa. Lakini sijawahi sikia mtu akimhusisha RAIS ktk swala hilo (Hata kama Rais alikuwa anashughulikia KITCHEN PARTY ya binti yake). SOKOINE aliuwawa, lakini tuliona akina DUBE wakiachiwa na Nyerere! Sasa leo Msiba umetokea MAREKANI ambako wanaishi waTZ wenye pesa, basi KIKWETE hakustahili kukutana na Hasheeem!!! AJABU!! Walipouwawa hao URUSI, Polland, South Africa etc. hamkujali kwanini Kikwete au Mkapa au Mwinyi au Nyerere hawajamwuliza Mandela au Putin au Gorbachev etc. Hivi nilifikiri ni wamarekani tu ndo wanamentality za kujiona ni MABOSS wa dunia, kumbe hata waTZ wanaoishi huko wamefikia kuwa na mentality hizo!! MUNGU awasaidie mbadilike. Hata hivyo bado sielewi kwanini msiba huu umefanywa wa kitaifa hata kuliko alipouwawa yule binti UFUKWENI DAR na wale askari wa UINGEREZA waliokuwa mapumzikoni DAR. Je kuna mtu ALIMSHUTUMU MKAPA kwa kukaa kimya bila kumkemea BLAIR??? Leo wameuwawa wamarekani basi KIKWETE kaoza!! POLENI SANA. Revd.

    ReplyDelete
  19. KWELI USTAARABU NI KITU CHA BURE
    TATIZO HAKUNA SHULE INAFUNDISHA USTAARABU MAANA WATU WOTE WENYE MANENO MABAYA INAONYESHA WAO USTAARABU HAWAJAWAHI SIKIA WALA PITA HUO MTAA UNAOITWA USTAARABU MAANA TUSINGEKUTANA NA MATUSI KAMA HATA HILO NENO USTAARABU KWAO LINASOMEKA INAONYESHA KWAO NI NENO LA KAMUSI KABISA. KWA UFUPI WATU ACHENI MATUSI KWENYE HII BLOG KUWENI WASTAARABU KWA KUANDIKA MANENO MAZURI KAMA UNAONA HUNA KAZI NA UPO HUKO MAREKANI BASI KIMBILIA MA BOX YAKO SUPERMARKET UKABEBE UPATE DOLA ZAKO 8 KWA SAA UKALALE AU NENDA KASAFISHE HUKO WATU WAZIMA UPATE HIZO DOLA NA HII BLOG WAACHIE WATU WENYE BUSARA ZAO MAANA HAPO JUU PAMEANDIKWA KABISA WATU ACHENI MATUSI WATU MNATUKANA KWELI NIMEAMINI SHULE INASAIDIA NA HAKIKA WANAONDIKA HUO UPUUZI ASILIMIA 98 NI WALE WALIOENDA MAREKANI KWA KUDANGANYA NA STATEMENT ZA BANK FEKI NA WALE WALIOJIFANYA WAMEENDA KUSOMA KUMBE KUBEBA MIZIGO NA SHULE HAWAJASOMA NA NDIO MAANA WANA MUDA MCHAFU WATU WENYE ELIMU ZAO HUWEZI KUTA WANAANDIKA UPUUZI.
    NAHAKIKA MUHIDINI ANAVYOANZISHA HII BLOG HAKUTEGEMEA ANGEKUTANA NA WATU WALIOCHANGANYIKIWA KIASI HICHO NA MAISHA.
    MICHUZI NAKUPA 5 ACHANA NA HAO WATU
    RIP VENOTHA NA WALTER

    ReplyDelete
  20. NI KWELI KABISA RASHID MKWINDA ndiyo maana tunamlalamikia huyu bwana Michuzi alikuwa ana post picha zao na Mzee JK zingine wanakula pilau sijui futari mara wako na JK na yule mtoto sijui Hasheem wa miaka 19 hotelini sijui nyumbani kwake huyo mtoto mara tukaona wako Boston mara Minessota wanakula mitaa tu lakini hakutokea Detroit hata kidogo wakati watu wanaomboleza kule Detroit wenyewe wako minesota na kina Keenan sijui na washkaji kibao wanachekelea ndiyo maana unaona watu wanawasakama na yeye Michuzi anajua watu wanasubiri aanze kutoa picha za Jay Z maana alikuwa BONGO siku ya huo msiba Jumatano, Michuzi akasema hakuweza Kwenda kwa familia ya Vonetha Nkya sasa atatueleza kama alipata muda wa kwenda kumpiga picha Jay Z... Yetu macho tu sasa hivi tuna subiri hizo picha... nadhani alipaswa kuzipost leo kama sikosei labda kesho lakini tusubiri tu....

    ReplyDelete
  21. Mr. Misouri, huyu jamaa inaeleka ndio yule aliyetumwa na Ubalozi wetu kwenda kumwakilisha Rais lakini tunajua aliishia kukaa kwenye hoteli ghali sana na kufanya ziara yake ya msiba kuwa ya kitalii. Mimi ningependa kumwuliza Rais wetu Mr. Kikwete na yule jamaa alitumwa kutoka kwenye ubalozi wetu, walikwenda kufanya nini pale msibani ? Na je wamechangia nini ? Sisi sote watanzania tunaoishi hapa Marekani inabidi tusimame kidete na kulalamika kwani ubalozi wetu hawafanya kitu chochote. Kifo kama hiki, nakubaliana kuwa Rais asingeweza kwenda sababu it's a murder case lakini, yeye na ubalozini wangeandika barua kwa Major wa Detroit au hata White House kuwaeleza nini kimetoka na wangependa kujua sababu ya kifo cha watanzania wenzetu. Yeye Rais anakuja kuchili wakaki wananchi wake wanahitaji msaahada wake. Hata sisi huku tulimpigia kura vile vile. Nchi yetu bwana, tumezidi kuogopa kuwa mstali wa mbele, hata Raisi wetu aliweka mkia matakoni .. eti kisa anaogopa. Bull shit !

    ReplyDelete
  22. Michuzi wa ukweli jina lake linakuwa la BLUE, MICHUZI WA UONGO JINA LAKE LINAKUWA JEUSI....HAO IMPOSTOR WANA AKILI PUNGUFU.

    ReplyDelete
  23. wewe pimbi usidhani ukiweka jina la BLUU basi ni mjanja mbona RASHID jina limetokea la BLUU? nenda shule ukaongeze elimu Kima wee

    ReplyDelete
  24. ILANI


    NAOMBA KURUDIA TENA TAFADHALINI NAOMBA TUHESHIMIANE PETER RUPIA HAJANILIPA HELA KAMA HONGO HUWA AKINIPA NI POCKET MONEY TU INANISAIDIA KATIKA VITU VIDOGO VIDOGO MIMI NA MY WIFE WANGU NA KWA KWELI SIYO VIZURI KUSEMA ALIKUWA ANATAKA KUMWUA YULE DADA. KWA HIYO NAOMBA JAMANI TUWE WASTARABU KIDOGO NA MANENO MNAYOTOA HUMU KWENYE BLOG YANGU MWISHO NITAIFUNGA NIONE MTAKACHO PATA MAANA SASA TUNAANZA KUINGILIANA HADI JIKONI.

    ReplyDelete
  25. Toka hapa shenzi nyoka weye huna hata haya twajua wazi weye si michuzi wa kweli usijifanye nyoko hapa na kuna mtu mwingine kwenye moja ya picha chini hapa amejifanya ati yeye ni peter rupia. amakweli hamna kazi ya maana ya kufanya kwanini msijitoe majina yenu ya kweli. mnajizalilisha tu maana wanaomjua peter wanajua wazi hana taimu na mambo ya kishenzi na walahi hata siku moja hawezi ingia gumu buloguni na kutamba kuwa kweli alimuua mfanyakazi wa shambani kwao lakini si kweli kwamba ametishia kumuua shena sinare. acheni nyokonyoko wivu tu wasenge nini nyie. pelekeni matako yenu huko mnawivu tu. na hapo juu unayezidi kujifanya weye michuzi in your drims huwezi hata sikumoja kuwa na hazifa kama ya michuzi, utaishia hivi hivi tu na nyodo na wivu wako. chakaramu kilomolomo weye. wazazi wako wamekula hasara endelea tu kujificha nyuma ya majina ya watu.

    ReplyDelete
  26. SUPERCALAFRAGILISTICEXPIALADOCIOUS!

    ReplyDelete
  27. Nina uhakika huyo marehemu wa kiume alioa kwa dili na huyo marehemu wa kike aliolewa kwa dili, cia hawatajali sana kama wamegundua hao marehemu walikuwa wanaishi vipi, sisi watanzania tunajua kuwa walikuwa ni wachumba lakini wamarekani hawajui hivyo, ukute ni wivu kati ya mke au mume wa kimarekani, think about it

    ReplyDelete
  28. Sawa wazee, vyovyote vile, kunawatanzania waliunanaga wenyewe kwa wenyewe huko usa river, sasa wabongo wa huko tuelezeni maisha yenu yakoje huko hasa rika la kina walter na vo wake, kipindi cha kina OJ, Osiman Njaidi wanatiwa pingu kikwete alikuwa marekani vile vile, unajua hata Bushi angelimuuliza bwana hawa watu wako taabu saana, hawafugiki hawa!!!!,Kwa hiyo wabongo huko tulieni, msijifanye na nyie wa usa river!!!

    ReplyDelete
  29. wewe annon 4:42
    kama umejiandikisha kwenye hii blog (registered) jina linatokea na rangi tofauti na watu ambao hawajiandikisha. Hakuna shule yoyote katika hili swala, tumia lugha nzuri-lugha yako inaonyesha jinsi ambavyo unahitaji shule zaidi ya mawasiliano.

    ReplyDelete
  30. acheni haya una nyege nini wewe hapo juu, una uhakika gani na unayoyasema kuwa Walter alioa kwa deal na Vonetha aliolewa kwa deal na kwa maana hiyo deal ilienda vibaya ndio wakauliwa? jamani muwe na huruma na subira kwa marehemu hawa na familia zao. Mara kulikuwa na habari kuwa ni wezi wa magari na dodgy business walidhulimu pesa ndio wakauliwa sasa unaleta story nyingine. Kweli watanzania msiamini mambo ya uchombezaji wa ubani haya ni kama yale yale tunayoona hapa wameanza kumuandana tena Peter Rupia, ndio maana hamna maendeleo, mmeonywa acheni mambo ya udaku hapa, na muone aibu kumpaka mabaya Peter mboni bado yuko na Irene, na penzi lao linawaka tu. mewapaka wengi hapa lakini mmeamua kuwashutumukia hawa tena. Irene kaachana na Matare na limewashuka watu walotabiri ataganda tu kwenye ndoa kwa ajili ya jina kubwa. Dada yule ameprove hajali jina kubwa kwa mtu lofa tu anayetumia wanawake kipesa na asiyejali familia anaacha mke wake ndio awe mhangaikaji kulea watoto na Peter ndio anayesaidia kulisha watoto wanaotoka kwenye jina kubwa hilo ambalo wabongo wengi mnalipapatikia, hao watoto wa Matare wangekula jina? Leave them alone. Tafuteni topic nyingine. Na muwe na heshima ya kutowaongelea marehemu hawa vibaya hivi. Mola anawaona. wengine kazi yenu kuongelea oh! Beni mulokozi ana ngoma (ukimwi) pamoja na Joseph Kahama, Peter Ngongoseko, Albert Marwa, Liumba wa bank of TZ e.t.c je mmewapima? I bet hata hawa kina Walter na Vonetha kama wasingeuwawa hivi mngesema wamekufa kwa ngoma. Nasema Mola anawaona maulana maulana nyie kuzusha mambo ya namna hii kuhusu hawa marehemu ningewaona uso kwa uso ningewatemea mate ya uso. Komeni jamani, ingekuwa ni kaka yenu au dada yenu amekufa mngewaongelea hivi kweli?

    ReplyDelete
  31. ANGALIA MITANZANIA INAVYOZIDI KUWA MISHAMBA! SANA SANA YA MAREKANI!
    YAANI HATA REMMY ONGALA AKIFA MTASEMA "MAREHEMU ALIKUWA HANDSOME KWELI MASIKINI", MTU AKISEMA ALIKUWA NA SURA MBAYA MTAMLAUMU!
    VIPI NYIE...EH?
    VIFO VYA MAPENZI NI VIFO VYA KAWAIDA DUNIANI...OK! NA LAZIMA TUTASEMA! MKITAKA KAJINYONGENI NA NYIE....EBOH!

    ReplyDelete
  32. NAONA SASA MJADALA NI WA WATU WENGI HAPA NA WANAINGIZWA WATU AMBAO WALA HAWAHUSIKI, SASA NAONA WOTE TU WENYE JAZBA TUPEWE RUKSA YA KUMWAGA YETU, MBONA WASIACHWE NAOMBA NIULIZE HIVI ZAKIA MUHAVILE BADO ANATIWA NA LEO NYANDUGA? MAANA HUYU JAMAA KWA KUTIA NJE NDIO MWENYEWE NA MKE WAKE SUDJI KAPINGA KAMTEMA KWA HAYA HAYA, ILA SITAKI KUONGOPA NI KWASABABU YA KULA NGONO NA MALAYA WA KIKE JUNE WARIOBA NDO MKEWE AKAMTEMA, PIA NA LILIAN TAIRO HUYU HANA NOMA MAANA ANATOA MPAKA MATAKO. SASA DAR HAPA JUNE ALIWEKWA KIMADA NA MICHAEL KIDA KWAHIYO LEO NYANDUGA AKIJA MJINI HAPA HAMNA KUMA YA BURE TENA. ILA KUZAMIA TU KWA ZAKIA. NA HIVI KARIBUNI ZAKIA ALIKUWA HOI. HUYU LEO NYANDUGA NI KUADI TU KAZI KUFINYENGA PIA NA WAKUBWA ANAMIND SANA MAJINA HUYU. LETENI HABARI SASA. tumechoka na hao wengine.

    ReplyDelete
  33. WEWE NA JUU YANGU,
    NGOJEA MICHUZI AWEKE PICHA ZA HAO CELEBRITY WAKO WANAO KUPA KULA, NDIO USEME HUO MKOJO WAKO.
    KAMA HUNA KAZI NYOA MAVUZI!
    TUKO NJE YA TZ WENGINE, HATUMIND HAO WATU NI WAFANYAKAZI WETU TU.

    ReplyDelete
  34. www.afrointroductions.com

    ReplyDelete
  35. WEYE ANONYMOUS WA SATURDAY OCTOBER 07, 2006 8:43:31 PM. HAKUNA CHA MTU ANAYEPEWA KULA NA UNAOWAITA MACELEBRIT ILI WAONGEE MKOJO HAPA, HAPA WATU WANANENA UKWELI TU LIVE. NA KAMA MICHUZI ATASIKILIZA OMBI AU ONI LAKO ATULETEE HIZO PICHA ZA HAO MACELEBRITY SAWA TUTASHUKURU MAANA TULITAKA PIA NA C.V ZAO. SASA BASI NAONGEZEA MWINGINE - MAGAI- HUYU MAGAI ALETWE HAPA MALAYA MWINGINE MWENYE MKE LAKINI ANA WALAKINI. MSHENZI MKUBWA HUYU NA KAZI YAKE TUNYANYASA DADA ZETU KILA ANAYEOMBA KAZI OFISINI KWAO LAZIMA AMUOMBE UCHI, UKIKATAA HUPATI KAZI, AU UNAPEWA KAZI AKITENGEMEA KUKULA NA PUNDE UKIKATAA UNAFUKUZWA KAZI. ZEE ZIMA HAONI HATA HAYA NA VISICHANA ANAVYOTOKA NAVYO HADHARANI VINGINE NI KAMA VICHANGU.

    ReplyDelete
  36. Wadau haya naona nimsaidie kidogo MHESHIMIWA MICHUZI hapa katika mambo ya C.V mana kati ya hao mliorequest c.v zao mie binafsi nawanyaka.
    1) LEO NYANDUGA: BUSINESS MAN, O LEVEL NA A LEVELS, PASS WELL, LAKINI HE WENT TO UNIVERSITY AND DID NOT FINISH HIS DEGREE COURSE, BECAUSE HIS WIFE DUMPED HIM AND SHE IS THE ONE WHO USED TO HELP HIM WITH HIS COURSE WORK, JAMAA KICHWANI PUMBA TUPU. ILA KWA PUBLIC RELATIONS NI BOMBA SANA, TOGETHER WITH BUSINESS, HE HAS GOT A GIFT. AND WOMEN LOVES HIM.
    2) MAGAI:, NI ADVOCATE AU LAWYER, SUCCESSFULL ONE, ISIPOKUWA NI MALAYA KWA NGONO NDIO MWENYEWE ila napenda kuwahakikishia kuwa kwa muda sasa ameachana na TIA SIMBEI alimtomba sana na kama mnavyojua alimpa kazi, hapa ofisini kwao, na kama mnavyojua MAGAI HATOI KAZI HIVI HIVI. sasa TIA SIMBEI hafanyi tena kazi ofisini kwa kina MAGAI. na ngono hapati tena.
    3)MICHAEL KIDA,: KICHWANI PUMBA SHULE ILIOTA MAJANI, QUALIFIED IN BEATING THE SHIT OUT OF WOMEN, AND GETTING DRUNK. Those are his main qualified fields.
    4)MATARE JOSEPH NYERERE,: DEGREE IN ACCOUNTANCY, HE DID EXTREMELY WELL IN GETTING GOOD GRADES AT UNIVERSITY AND HE HAD 1st CLASS DEGREE. but he is lazy, ama kweli wasomi wengi huwa hawako juu kimaisha. SASA ANAUZA VITATU WANAVYOVICHORI KUTOKA KWA KINA KALAFU. he has his own office here in Tanzania, MHASIBU HOUSE. When it comes to women he is a cheater, although he loved his wife to death. Cheated on her for many years with the said SEKELA KABISA, it took many good years for his wife to know the truth. The minute she did she wanted out. Never cared about the big Mighty name. Sekela is also said to have dumped him.
    5): LIUMBA of BANK OF TZ. PHD, MSONI KWELI. lakini malaya, he even slept with RAY-C and he is an excellent thief, the bank will take a century to discover what he is doing, HE IS THAT GOOD do not under estimate him. he knows how to spend on women especially dogodogo's, he is beleived to have aids.
    6)JOSEPH KAHAMA, WELL EDUCATED, BUT DID NOT MANAGED TO PASS WELL ON HIS EXAMS. lakini kama kawaida ELIMU SI KITU HAPA MJINI, JAMAA ANA PESA KIBAO BECAUSE DADDY IS HELPING HIM OUT HAS GIVEN HIM A HUGE CAPITAL, BASICALLY HE CAN DO, BUY, WHATEVER HE WANTS, HIS DADDY ALSO HELPED HIS INLAW PETER RUPIA WHEN HE WAS MARRIED TO HIS DAUGHTER ANNA.
    7)BENI MULOKOZI: JUST GOT A DIPLOMA, HIS DADDY LOVED HIM SO DEARLY AND SPOILED HIM, BUT HE HAS GOOD BRAINS, VERY TRUST WORTHTY BUSINESS MAN. THAT IS WHY HE GETS ALONG WITH BIG BIG PEOPLE AND KINANA IS HIS BEST BUDDY. HE KNOWS HOW TO TAKE GOOD CARE OF HIS FAMILY. ALTHOUGH HIS SISTER TOOK HIM TO COURT FOR FODGING THE WILL, THE COURT CASE WENT ON, THE JUDGE ORDERED THE SALE OF THE HOUSE OF WHICH HE SAID WAS HIS, HE WAS KICKED OUT WITH HIS WIFE AND THEIR CHILD. THE HOUSE WAS SOLD AND MONIES DEVIDED BETWEEN THE SAID FAMILY.
    8) IRENE MABIBA: BBA (BATCHELOR OF BUSINESS ADMINISTRATION) PASSED WITH FLYING COLOURS. She is tallented has also diploma in full Secretarial, Beautician, currently a MORTGAGE ADVISOR for Barclays in UK. Excellent mother of two. Kama nilivyosema awali ELIMU SI KITU hapa duniani, hawa wenye elimu ni failiur kwenye mambo mengine. Huyu dada very smart, God fearing, good manner, witty you name it. BUT ni MJINGA FULANI HIVI, DO YOU KNOW PETER RUPIA MANAGED TO WIN THIS LADY'S HEART? Can you believe how stupid some of out sisters can be? despite everything she was warned about this guy, ana tabia chafu, lakini Irene decided to stand by him. IT IS A SHAME, A REAL SHAME. His ex-wife Anna ndio kiboko yake huyu Peter maana alipoanza ufuksa wake Anna akamwonyesha kuwa FIRST SHE IS OLDER THAN HIM, AND SHE CAN BE AS HIM, SHE GOT HERSELF A REAL MAN, AND HER FAMILY SUPPORTED HER. jamaa fala sana he was even refusing to give Anna mali nusu kwa nusu, walipoachana. SHERIA IPO NA ATATOA TU, HASA NYUMBA YA MASAKI.
    9)ALBERT MARWA: NO PROPER EDUCATION, EXEPT ON CONNING WOMEN, HIS FIELD IS BEING INVOLVED IN MISS TANZANIA CONTEST. HE ALSO MANAGED TO WIM KIKWETE'S DAUGHTER'S HEART. kamwacha mkewe kisa mtoto wa kikwete. HE IS ALSO KNOWN TO HAVE AIDS. he is ugly, kama nilivyosema awali mnaamini ELIMU SI KITU, hapa utakuwa na elimu yako utabaki kulala nayo tu kitandani kwasababu siku hizi hata kupata kazi ni kuhonga na kujuana NA KUTOA UCHI TU.
    10) PETER RUPIA: VERY SMART, STUDIED IN USA AND UK. WAS NEVER REALLY A CLEVER KID IN SCHOOL AND MUCH OF A MUMMY'S BOY. HE HAS A SUCCESSFUL BUSINESS EMPIRE. again kama nilivyosema awali si lazima uwe na degree au phd, elimu hapa bongo haina maana sana. ONA WATU KAMA KINA RUPIA WALIVYOKUWA NA ALMOST EVERYTHING IN THIS WORLD. HE IS GOOD BUSINESS SKILLS, HAS CLIENTS WORLDWIDE. HE IS TRUSTWORTHY AND THAT IS IMPORTANT THAT IS WHY HE IS SUCCESSFUL. LAKINI NJE YA BUSINESS, NI MTU MWENYE TABIA CHAFU, MALAYA HATULII. TUONE KAMA HUYO IRENE ATAVUMILIA UFUKSA WAKE PAMOJA NA KUJIFANYA KICHWA NGUMU.

    ReplyDelete
  37. Uuuuwiiiii wajameni data data hizi, ndio maana napenda maendeleo ya bongo siku hizi. Michuzi umeleta maendeleo haya sasa waungwana zidi kujitokezeni, mtuburudishe hapa mtandaoni. Chwiiiichwiiiichwiiiiiiii hodi hodi;;;;kariiiiiiiiiibuuuuuuuuuuu.

    ReplyDelete
  38. Kweli wabongo hawana akili za busara, kuna mtoa maoni hapo juu ninanukuu point moja: amesema kuwa eti kiboko Ya Peter ni aliyekuwa mkewe Anna Kahama ambaye alimkomoa Peter kumwonyesha anaweza kufanya ufuksa zidi yake. kwakuwa ni mkubwa kulikoni yeye na akapata bwana mji mzima unajua na familia yake ikamsapoti. HIVI MNA AKILI TIMAMU KWELI. NI WAAFRIKA KWELI NYIE? AU LAA? Maana bwana heshima ya mwanamke si haya mnayomsifia huyu Anna. HUWEZI KAMWE KUSHINDANA NA MWANAUME, KAMWE. NA UKIFANYA HIVI WEWE MWANAMKE UTAITWA MALAYA. Na kama tunavyoona hapa mjini Anna hana sifa nzuri kila mtu anamsema na kumcheka hata hao rafiki na wifi zake waongea nae vyema lakini kisogoni wamsema. Ona alivyokuwa ka kizee hivi na mlevi sana huyu dada. Ongeeni point jamani acheni kuongea mambo ya ajabu, amboyo ni aibu katika jamii yetu.

    ReplyDelete
  39. my god kweli watu wana data jamani kweli wewe uliyendika hayo umeniacha hoi,ila umesahau cv ya juni warioba manake nasikia kuma yake imeliwa mpaka na wazee wa mjini hapa dsm.
    alafu nasikia eti peter rupia anaoa karibuni ni kweli???

    kingine hata magai nasikia ameshamla juni warioba.mhhh jmani.

    huko bot kwa liumba nako nasikia anayewjiriwa mzuri ni lazima amle hata iweje.
    samahani ila ndio watu wanavyosema.

    ReplyDelete
  40. Ndugu hapo juu samaani si unajua tena wako wengi hapa mjini yani siwezi kumaliza toa c.v za watu wote, nitafanya moja baada ya nyingine. ni kweli JUNE WARIOBA kiboko,
    JUNE WARIOBA: ELIMU FINYU, SHE HAS ONLY HAS A DIPLOMA YA UHANDISI.
    NAOMBA NIWAHAKIKISHIE KUWA NI KWELI KATOMBWA NA MAGAI PIA, KATI YA LIST ILIYOWEKWA NA WAUNGWANA WOTE TANGU BLOG HII IANZE, MAGAI HAKUWEKWA KWENYE IDADI HII,
    KUMA YA HUYU JUNE WARIOBA ILIKUWA MPKA IMELEGEA, NA KUOPOLEWA NA KUWEKWA KIMADA NA MICHAEL KIDA ILIKUWA SAFI MANA KUMA ILIKUWA INALIWA NA MKONG'OTO ALIKUWA ANAPATA SAWASAWA, MPAKA AKAVUNJWA MGUU NA KUPELEKWA KWA MATIBABU NA FAMILIA YAKE INDIA. MGUU ULIOZA HII YOTE NI MOLA ANAMPA MESSAGE HAPA, HUYU HANA NOMA NI YEYE NDIO ANAYE WA APROACH WANAUME. NA ALIFANIKIWA KUMPELEKA SIMON RUPIA NYUMBANI KWAKE, HII NI KABLA HAJAWEKWA KIMADA NA MICHAEL. SI AKATAKA KUMREPU SIMON, SIMON AKATOKA MKUKU NA SHATI LIMECHANWA. LAKINI SIMON NAYE KIBOKO MAMBO YAKE YA KINYEMELA HUYU, NEWS FLASH HIVI MNAJUA ALIKUWA ANAMLA RITA MENGI? RITA HAPATI MITI YA SAWASAWA KUTOKA KWA MENGI, KWANZA ANA KIMBOO KIDOGO INASEMEKANA BASI YUKO NA MENGI KWA AJILI YA DOSH. LAKINI KUNA WATU WANAMSHUGULIKIA, NA ANAAPROACH MWENYEWE NA ALIMPENDA SANA SIMON. MENGI ALITAKA KUCHIMBA MKWALA LAKINI KULIKUWA NA WALAKINI HAPA. HUYU MENGI ANA UWEZO KAMA WA ZOMBE KUTUMA MTU AKAWAMALIZA WANAOHITIMU KUMLA RITA.
    KUHUSU PETER TETESI ZA KUTAKA KUOA HIVI KARIBUNI BADO HIZI SIJAPATA PUNDE NIKIPATA ZITAWASILI KWENYE C.V. natumai nimejibu maswali japo. au?

    ReplyDelete
  41. ahsante umejibu vizuri sana tena bila kinyongo wala hiyana,hao ndio macelebrity wetu.
    yaani kumbe mengi naye wanasaidia kumhudumia rita wake,kweli wabongo wanasaidiana sana wana roho ya upendo.
    sasa samahani naomba nikuulize swali la mwisho usinichukie .

    hivi nani anamtia amina chifupa kwa sasa manake nasikia naye anagawa kuma kama hana akili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...