jk na mama salma kwenye duka la game alipofungua rasmi nanihii ya mlimani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Shikamoo baba,pole na ziara ya mtwara,unaonekana umechoka!si hawa xporters wanakuchosha!cjui wameanza kununua korosho!hebu tujulisheni.ila sasa mzee you want foreign currency through exportation ya cashewnuts,but hizo bidhaa za hill city si za kigeni?more demand for forex.kwanini tusitengeneze wenyewe?chek pooltable nini hatuna mbao?lkn imported,cheki mkitanda huo,nini hatuna,chek minyama hiyo ukiuliza southafrica,i wish waanze kuuza local products to strengthen our currency and provide maisha bora kwa kila mtanzania kwa kuwapa wazawa ajira,sory dad.bye

    ReplyDelete
  2. baba lakini unaangalia kama hawa wawekezaji hawaui uchumi? cheki nao mmana kwa kukwepa kodi ndo wenyewe,usikute huku dukani kwa mangi mtaani kodi inakula kwake tu.

    ReplyDelete
  3. cheki mzee hawa richmond wasijetuletea mikataba ya ajabu umeipitia mwenyewe?maana mimi nakuaminia wewe tu na mzee lowasa hawa wengine hawakawii kukuhujumu,si sio watu wako?a different team plays different from different captain instructions yeah!

    ReplyDelete
  4. vitu vingi humu bei ni ghali kushinda mtaani,sasa sijui ni product quality inayopandisha bei zao au nini? lakini bidhaa ni zile zile au hizi ni genuine hata ulaya huwezi kupata kama walivyosema wagosi

    ReplyDelete
  5. Inatia huruma, mzee wetu anakagua maduka, maduka yenyewe yamejaa vitu vya below standard vingi vyao kutoka china.
    Watanzaia kuweni macho na wachina sio watu wazuri, watawaliza.

    ReplyDelete
  6. Haya mafundi seremala polepole mnaanza kulamba chini, wauza mboga/nyama, maduka ya samaki hii biashara ikishamiri mtakula hewa...Wajanja wengine huwa wanaimarisha uzalishaji wao kabla ya kukaribisha wengine, yaani kwa maana nyingine wanalinda uchumi wao kwanza. Sasa ndo tumeanza kuchekeana na wachina, hao ndo watajaza vitu vyao, hadi mchicha utatoka shanghai.
    Eeeh hivi hapo city hill UMEME wao wanatoa wapi?

    ReplyDelete
  7. tumepigania kuondoa apartheid south africa ili tuweze kuimport pool tables, when are african's going to learn? Hii mall kama hatuko makini itakuwa burden badala ya advantage kwa uchumi wetu, but well, what do I know?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...