Home
Unlabelled
ngoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo sio ngoma ya Wamanda Michuzi, sidhani kama ni Ngoma ya Wanyakyusa kwa jinsi walivyovaa hao jamaa watakuwa wanatokeo mwambao wa ziwa Nyasa
ReplyDeleteukimaanisha niya wanyasa??? basi "mganda"
ReplyDeleteHaloo bwana Michuzi, salam sana. Nimefurahi sana kuijua blog yako, inanivunja mbavu, kwa lugha yako. Hiyo ngoma wanyakyusa tunayo inaitwa "Mapenenga" lakini sisi hatuvaagi sare kwa hiyo hao watakuwa ni wangoni na mganda, its the same thing though.
ReplyDeleteHiyo ngoma inaitwa Ling'oma.Ni maarufu Unyakyusa, Undali, Ungonde, na Ulambya katika wilaya za Rungwe, Ileje na Kyela.Hata upande wa Malawi mpakani na Tanzania wanacheza ngoma hii. Na ngoma hii inachezwa zaidi wakati wa kiangazi, shughuli za kilimo zikishapungua.
ReplyDeleteHii ngoma ni bomba. Hivi wewe michuzi mbona unaleta vitu vizuri sana! yaani sio tu Bongo flava ambazo watoto wa sasa hawajui tumetoka wapi?
ReplyDeletekazi nzuri michuzi
ReplyDeleteMICHUZI hongera kwa kazi nzuri,Ngoma ya KINYAKYUSA inaitwa ING`OMA na huo urembo mwekundu unaitwa PATESI,Yaani Nimefurahi sana huku ughaibini,Ikiwezekana tupatiwe na DVD kabisa.
ReplyDeleteHAO VIJANA POA WASIJE WAKAWA KAMA DADA KING ANATULETEA MITINDO YA NYWELE TU NA MASTAILI YA KUIGA KWA WAKINA MAREHEMU TUPAC NA WASANII WENGENE WA AMERICA HUKU NI BONGO WAJE KIBONGO BONGO TUTA WAKARIBISHA UJUMBE WAO TUTAUSIKILIZA KAMA TUKIUKUBALI POA TUTAPITISHA FAGIO NA KUWAFAGILIA WA WA
ReplyDeleteISSA hilo ni lipenenge la wanyakyusa?
ReplyDeleteIssa Miposi (ooh naomba uniruhusu nitumie hilo maana ndio michuzi kwa kinyakyusa.
ReplyDeleteNgoma hiyo inaitwa ling'oma, ngoma hiyo inafanana sana na mganda ya wanyasa tofauti pekee ni kuwa wanyasa wanaimba lakini wanyakyusa ktk ling'oma ni ngoma tu pamoja na ndululutilo.
Hallo Michuzi nimekukubali kazi yako siyo mchezo.Maana umenikumbusha mbali sana,ngoma hiyo inaitwa Ling'oma.Mtu mchafu hachezi ngoma hiyo.
ReplyDeleteJamani hili kabila kwa kuji proud hadi wanakera. Wao na Wahaya baba mmoja mama mmoja.
ReplyDeletehao wa Zambia,kweli nyerere alikua na roho nzuri.kawaleta toka jirani hao
ReplyDelete