Home
Unlabelled
karibu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Musiba alishakaa sana jela kwa wizi wa pesa leo mwenyekiti wa wafanyabiashara? Ama kweli Bongo!
ReplyDeleteKachero ,ro ro ro na si kachelo ! Asante
ReplyDeleteYaani fani wa Elvis, the pop singer, alikuwa mwizi? Labda ndiko kujenga nchi! hao wezi ndio wakina Carnegie Mellon, Morgan na Rockefeller wa Bongo baadaye -nao walianza kwa wizi wizi!
ReplyDeleteKwakweli hii kweli bongo, napenda kumsapoti anony wa kwanza kabisa, huyu jamaa alikuwa chori na amesevu taimu yake sana lupango (jela) sasa leo ni mwenyekiti wa wafanyabiashara.Duh, na miongoni mwa washkaji walomsevu ni George Kahama. Na huyu dada kafanana na Anna Kahama weupe na kila kitu hata nywele, je ni yeye? basi makubwa wanaonyesha mambo kweli hii bongo.
ReplyDelete