mwimbaji nyota wa bendi ya inafrika bob ludala akiimba wimbo wake 'nimekuchagua wewe, usiku huu kwenye hafla ya wanawake wa kenya wanaoishi bongo. mlio ughaibuni kaeni mkao wa kula kwani ludala na wenzie pamoja na kikundi cha sanaa za maonesho watafanya ziara ndefu ya ulaya, wakianzia miji yote ya ujerumani. wanaondoka bongo desemba 18

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Thanks for information michuzi,Duh! kama wanakuja Germany Nimefurahi, nawasubilia kwa hamu kubwa. Nakumbuka mnoo muziki wa home.

    ReplyDelete
  2. mimi pia ni mkazi wa Germany nawasubiria kwa hamu sana.Naikumbuka sana ile nyimbo ya nimekuchagua wewe,hiyo ndio favourite song yangu.

    ReplyDelete
  3. BOB RUDALA...Ananikumbusha mbali sana...jiji la Manama...Kule Bahrain...Ahsante kwa kunizalia mtoto...Mtoto mwanamke...sikiliza kibao hiki kwa makini utaamini kwamba huyu jamaa ni jinias wa muziki wa kiafrika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...