eric shigongo, bosi wa magazeti ya uwazi, risasi, amani, champion nk. (anaesoma kijitabu) alikuepo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Michuzi tuwekee picha za mpambano wa stars na kongo.Pia tupe matokeo.asante

    ReplyDelete
  2. congo 0 stars 2

    ReplyDelete
  3. Ndio Michu pia na kaka Billy sarakikya nae alikuwepo naona anaonekana hapo na miwani ya giza Chelsea 1 arsenal 1

    ReplyDelete
  4. Pombe kweli kitu kibaya.Yaani huyo mdingi pembeni ya Shigongo kachapa usingizi!Ama kweli

    ReplyDelete
  5. Naona wadada na wamama hawakuwa haba wala nyuma. Michuzi huyo dada pembeni ya Balozi Kallaghe ni nani?

    ReplyDelete
  6. Huyo dada aliyekaa hapo nafikiri ni Mindi Kasiga

    ReplyDelete
  7. Huyo dada ana mvuto!!! Watoto wa kisasa wazalendo wa kibongo hao!!!

    ReplyDelete
  8. hata mimi nahisi ni mindie kasiga, maana ni mwandishi wa habari, nadhani wa ikulu.

    ReplyDelete
  9. Hata Mimi nahisi ni Mingie Kasiga, maana kasomea mambo ya uandishi wa habari na nadhani anafanya kazi ikulu.

    ReplyDelete
  10. Mindi alikuwa anafanya BOT lakini sasa hivi nasikia yuko Ofisi ya Waziri Mkuu sijui kazi gani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...