Home
Unlabelled
sinza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
eeh dua? haya si hiyo hela ya kuwalisha wote hao angeweka wajenge barabara hapo mbele kwake?
ReplyDeleteWEWE MICHUZI ACHA USHAMBA, MAMBO YA KUTUWEKEA MAPICHA YA KINA AMINA YA NINI SASA,KAMA HUNA CHA KUWEKA SEMA TUHAME BLOGU ZIKO NYINGI , BWEGE NINI WEWE,NA HII COMMENT USIPOWEKA NITAWEKA KWENYE BLOGU NYINGINE UWA HATULALI BWANA KILA SIKU AMINA CHIFUPA, AMINA CHIFUPA KUMBUKA KUNA WABUNGE 200 MBONA HUWAWEKI HAO, AMA UNATOMBA NINI MSENGE WEWE!!!
ReplyDeletewewe michuzi mara ya kwanza ulituwekea ooh Amina kaandaa futari wenye subira tukapoa tukaona labda dini, leo unatuletea mambo ya dua sasa hii blogu ya kina amina ama ya kwetu, sema kama vipi tuhame, tushachoka bwana !!!
ReplyDeletewatu acheni wivu..go amina kip doin ya ting.....by da way...nice house...
ReplyDeleteWewe unaesema wajenge barabara kwani ni kazi yao hiyo?????? Wewe umejenga nje kwako au hata hiyo nyumba unayo????????? Muuacheni atese karidhika na hiyo barabara nje kwake so its none of ur business. Keep it up Amina kill them kabisa na uzidi kula raha. wenye wivu wajinyonge.
ReplyDeleteshukran sana michuzi kwa kutuwekea picha za kina amina na family yake na huyu tahira kwa nini umeiweka comment yake hebu kwanza mfute aende huko anakotaka kwenda aone kama atabwata ovyo hivyo mwanawazimu sana huyu tena amekosa haya kama mwanamke au mwanamme mola kisha mlani maana matusi si mila na desturi yetu watanzania kubwabwaje ovyo huyu anonymous aliyekutukana matusi ya nguoni naona hajazaliwa na mamaye labda kazaliwa na babaye au na wanyama wa mwituni asiye na haya wala asiyoona fibaya hana heshma wala nidhamu ni sawa na mnyama ndo maana kazaliwa na babayake huyu sibure kachizika hivi mwana harabu wa baba huyu..
ReplyDelete