dar ni ya kijani sana siku hizi baada ya kampeni yake ya kupanda miti na maua kufana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. kweli nimekubali 'mipesa'dar sasa kunapendeza,lakin nadhani ni baadhi ya sehemu.

    ReplyDelete
  2. panapendeza, naona baba askofu kadinal pengo ameamua wapake rangi hiyo GADENI...

    ReplyDelete
  3. NI KIJANI KWA KUWA MVUA ZIMENYESHA ,USINGALIE MITI TUU ANGALIA NA MAJANI PIA . KAMA HAKUNA MVUA HAKUNA UKIJANI.

    ReplyDelete
  4. hiyo rangi imepakwa na benki ya makaburu,NBC LTD.Lakini hiyo miti imepandwa sehemu chache tu za mji mr michudhi,tembelea maeneo mengine kama magomeni,ilala,upanga,kariakoo,buguruni na maeoneo yote yenye msongamano wa makazi utaona ni miti michache tu.Nadhani tungeweka sheria ndogondogo za kuwataka wenye nyumba wapande miti na kama zipo basi vyombo husika vizisimamie kwa umakini sana.Pia turekebishe ramani za maeneo hasa yasiyojengwa bado ili makazi yasiwe pua na mdomo na barabara ili hata hiyo nafasi ya kupanda miti ipatikane mbele za nyumba.

    ReplyDelete
  5. MICHU asante kwa kuweka picha hii!
    KWeli Dar kuna mvuto. Swali langu ni kwamba ukijani huo utadumu hadi lini? Watanzania hatujambo kwa kuanzisha vitu, il kuviendeleza ndio ishu. Nakumbuka kuna kipindikingo za barabara ya Morogoro zilioteshwa nyasi hasa pale eneo la Manzese. Muda si muda, zilikanyagwa na kufilia mbali. Sijui watu wengine hawavutiwi na ukijani huu loh!
    Hebu tujenge mazoea ya kutunza mali hata kama haitoki mifukoni mwetu

    ReplyDelete
  6. it's impressive, ila ondoeni yale matwiga ya plastiki yaliyo mjini; moja karibu na posta ya zamani, nyingine iko pale Red Cross, nyingine mikocheni baada ya shoppers etc. Hayapendezi na yanatisha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...