kwa heshima na taadhima naomba nitangaze kwamba rev. evm ndiye mshindi wa shindano letu la mwezi huu la 'jengo gani hili' lililotoka januari 8.

hongera sana rev. evm sio tu kwa kupatia bali pia kueleza kinagaubaga ni jengo gani hilo na zamani lilikuwa nini na mtaa wake. tafadhali wasiliana nami kupitia issamichuzi@gmail.com na utamke picha gani unataka nikutumie kama zawadi.

JIBU: HAPA NI MAKAO MAKUU YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI BARABARA YA SAMORA, ZAMANI MAKAO MAKUU YA TANESKO, MKABALA NA BRITISH COUNCIL NA STEERS.

kunradhi kwa kuchelewa kutoa matokeo mapema. hii ni sababu za kiufundi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera zako Revd. EVM, inaonekana kuwa wewe upo Ughaibuni, lakini hujatupa kwenu! Keep it up!! Nakuaminia mwanangu. NB: Naomba jina lako kamili, please!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...