Home
Unlabelled
mmmmmmmwwwwwaaaaaa....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tafadhali huyu sio Aida Maeda.
ReplyDeleteHongera kwa kufunga ndoa na kutakia maisha mema wewe na mumeo.
ReplyDeletePs. Michuzi, na uhaika hii sio best photo ya Aina , naomba uchague picha nzuri uweke.
Hongela dada kwa kulivaa karatasi kichwa kichwa.... lakini kumbuka Karatasi hiloooo, kukaa nayo ni kasheshe tupuuu
ReplyDeleteJamani sio kila anayejihusisha na mgeni anataka makaratasi. Wageni wengine wanaowa wanawake wa ki Tanzania ili wao ndio wapate makaratasi ya ki Tanzania. Mimi ninamjua jamaa mmoja toka Canada, alioa mwanamke mTanzania ili apate makaratasi ya ki Tanzania kwa ajili ya kufanya biashara pale Dar, na jamaa aliyapata, na biashara yake inamwendea poa. Maana yeye hufanya biashara na diplomatic missions, kwa hiyo yeye hupokea checks za dollar tu, sio shillings. Kwa hiyo, hata makaratasi ya ki Tanzania ni mali pia.
ReplyDeleteHivi mbona hawa kina dada walipitia kwenye ulimbwende wanapenda Wazungu???????
ReplyDeleteSijapata kuona kichekesho. Hiki ni cha kuukaribisha 2007.
ReplyDeleteMichuzi ni kweli au unatudaganya. Give us a good picture because even Tom Cruise gave the world the miracle picture you know...The picture he put out he was taller than Katie while the truth is that he is 2 inches short. sasa hii hata Kiss ni ya uizi.....Congratulation atleast umemuingiza sijui mfaransa manake nasikia dada zetu wengi wanawaingiza wakenya.
ReplyDeleteMwanamke wa kichaga hakosei kufunga ndoa hata siku moja.Ukiona mwanamke wa kichaga anasema yuko tayari kufunga ndoa na mtu ujue kanusa na kasikia harufu ya noti kuwa zipo na hata kama hazipo kasikia harufu kali kuwa ziko nyingi njiani zinakuja.Maeda naye kanusa.Mnaofikiri kakosea mnaota.
ReplyDeleteTatizo la mademu wa kibongo wakiona wazungu wanadhani ndio atakuwa mkombozi wa shida zao na lazima atafanya kila njia aolewe. Halafu wengi wao wanaolewa na Vibabu Vizee vya kizungu ambavyo huku majuu haviwezi kupata hata wanawake wa maana na wanaishia kupata Trailer Park Trash Hoes. Sasa hebu angalia huyo mume wa Aina Maeda yaani ni Kibabu Kizee kilichojichokea, bora hata mkiolewa na wazungu tafuteni wa maana basi. Utafikiri Mjukuu na Babu yake wameoana.
ReplyDeleteWe mzungu vipi? Dada yetu anakupa busu la nguvu na tabasamu kubwa sana wewe unakausha na kubinya vidomo vyako ukiwa umenuna maana yake nini? Kwa taarifa yako hatukukulazimisha kuoa umejileta mwenyewe.Wewe mzungu vipi?
ReplyDeleteNilipoona hii picha nilifikiri ni Remmy Ongara yule mwanamziki.Kumbe ni Maeda.Nimeamini Saloon kuna wasomi wanaweza badilisha hata ngedere akaona mrembo wakiamua.
ReplyDeleteCHELEKO CHELEKO MLISEMA HAOLEWI KAOLEWA... HAOOOO WASAGIAJI MTARIJUA JIJI MWENZENU KESHAULA HUYOO...
ReplyDeleteMMH ILA UKWELI OVER DR REMI KWELI KAWA MDARK HUYOOOO TII MPAKA OVER KAPAKWA KIWI... KIBABU CHA WATU KIMEJIOPOLEA MISS 94. HIVI KWELI HAWA WAREMBO WANAPENDA VIBABU NAKUMBUKAGA NILIMUONA EMIL ADOLP NAMANGA SOMETIMES NA KIBABU CHA KIZUNGU KIMECHOKA MBAYA SASA WAREMBO KAMA HAO WALIPASWA KUTAFUTA VIJANA WENZAO SIO VIZEE
siajabu huyo akawa mdogo kuliko mwanamke, usibabaike na upara huo.
ReplyDeleteJAMANI MICHUZI HEBU LETE PICHA YA MAANA, TUHESHIMIANE,
ReplyDeleteKWELI HUYU NI AINA MAEDA? MBONA KAMA KAPAKWA KIWI? NA MBAYA SANA SANA.
KAMA INGEKUWA MIAKA MINGI ILIYOPITA TUNGESEMA SAWA LABDA PICHA IMEHARIBU, LAKINI HATA WEYE MWENYEWE UNAJUA SIKU HIZI DIGITAL PICTURE QUALITY, NA KUOLEWA NA MZUNGU HAIWEZEKANI WAKAPIGWA PICHA YA KUTOKA NAMNA HII.
EXPLAINI TO US PLEASE.
Hee! Hawa mbona kama vinyago? Kimoja kimepakwa chokaa kingine kikapakwa mkaa! So ugly!
ReplyDeleteMay be walienda ku sun tan kwa ajili ya harusi. Wewe michuzi wewe... hivi kweli walikuruhusu kuweka hii picha? Labda screen ninayotumia inaonyesha hivi. Nilikua nyuma ya Aina Maeda sana lakini nadhani dada yangu atakuwa age moja. Au make ups zimemzeesha kwasababu hii career ya umiss na modeling wanatumia sana make up na hizo nasikia zinachukua skin yote ukiwa kwenye thirties unaonekana kama fourty. Kwa vile ukiangalia 94 maybe alikua 19 yrs of age sasa hivi labda yupo 29 - to earl 30's lakini hii picha jamani utazania yuko 40's. Acheni dada zangu hizo make ups
ReplyDeleteUchagani hatuna mtu mweusi kama huyu.Huyu lazima awe mtoto wa Jaluo! Watu kabla hatujaoa akina dada tunaoona weupe lazima waape mbele ya Jaji Michuzi,kuwa weupe wao ni wa asili au la. Wakidanganya na ikigundulika baadaye kuwa haukuwa wa asili bali ujanja wa Saloon na Makeups Washitakiwe na kwa kuudanganya umma na mheshimiwa Jaji Muhidin Issa Michuzi Mkuranga.
ReplyDeleteKwanza ngoja nina hasira sana Mke wangu nampeleka mahakamani leo leo akathibitishe kama weupe wake ni wa kuzaliwa au wa poda.Sikubali hadi kieleweke hii picha imenistua.Atanikoma mke wangu.
Oyaaaaah! Mbona kelele nyingi jamani??!! Vipiiii??
ReplyDeleteSijaona hata mtu mmoja aliyefikiria kuwa huyu dada kwa kuwa ndo alikuwa mmoja wa waanzilishi wa kulinyakuwa hili taji la Beauty Peagent Tanzania basi atakuwa ana heshima ya pekee. Kwa hivyo basi mi nafikiri Michuzi mwenyewe alikuwa yuko mbali sana (if not mzamiaji). Kwa hiyo picha aliyopiga kwenye screen display ndo aliyotuwekea hapa. Hiyo screen hata resolution, color balancing, focusing havikuwa vimepangiliwa vizuri. Ndo maana mtoto wa watu wa kimachame kaonekana kama binti wa Otegi huko Tarime kulikoungua shoka ukabakia mpini wa mpingo...
Michuzi nakushauri uwe unapiga picha kwenye hafla ulizoalikwa tu.. Angalia ulivotuaibisha sasa hapa.