Home
Unlabelled
pawasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ina maana APR wamemuuza Pawasa kwa Waarabu?
ReplyDeleteHawa wachezaji wanafaa kujumuishwa Stars.Sina uhakika wa huyo mwingine,ila Pawasa bado wamo na ingefaa ajumuishwe stars kwa maandalizi ya mechi dhidi ya Simba wa Teranga.Maximo yawezekana hana taarifa zao kutokana na TFF kutokuwa na rekodi nzuri za wachezaji.Mungu ibariki Stars,Mungu ibariki Tanzania.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteVipi huko hamkufungua Tawi la CCM? Au ni kwa sababu ni Uarabuni mnajua kuwa wanasapoti CUF?
jamaa lakini wanaonekana wamechoka
ReplyDeletesijui vipi huko Umangani
Tawi la ccm vipi huko?Iko siku utatueleza hatuna shaka
ReplyDeleteMY DEAR TANZANIAN.
ReplyDeleteInaonekana Michuzi anawajua sana footballers wanao lisakata kabumbu la kulipwa ngambo....Dooooo naomba sana mungu atujalie ili tuweze kuona Mtanzania akicheza mpira wa kulipwa. Hao anaowataja Michuzi ni wachezea mpira ..siyo wacheza mpira..
Doctor///