ukumbi wa ymca dar ulikuwa hautoshi enzi hizo za miaka ya 1980. hapo nakumbuka kibao kilichokuwa kinapigwa ni kile cha 'maiko jekson njoo, sitaaaaaki, kama hutaki nendaaaa..."

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Ebwanaa eeeh! ....naaam enzi hizo! Boogie Disco kuanzia saa nane Mchana siku ya Jumapili....na kile kibao kingine cha 'Maiko Jakisoni' "Cheza, cheza kwa stepu, usimkanyage mwenzio,..."! ~MchongomaMwiba~

    ReplyDelete
  2. ...kumradhi, maana naongezea comment! Hivi mmeshitukia enzi hizo kila mtu alikuwa mwembamba? wanerne walikuwa wachaaaache, tena ukiwa una kajimwili kidogo unaitwa Bonge! aisee tumetoka mbali wajemeni...au sababu ya mikate ya siha enzi hizo? ~MchongomaMwiba~

    ReplyDelete
  3. Kweli bwana hamna wanene, ah! Haya ni mambo yananikumbusha mbali,enzi za maiko jakson 'katakata kachumbari, kibo!...'

    ReplyDelete
  4. HIZO NI ENZI ZA AWAMU YA KWANZA KILA KITU HAKUNA, KIKIPATIKANA KWA FOLENI. WATU WATAACHA KUWA WEMBAMBA.

    ReplyDelete
  5. Nahapo YMCA ndo ulibatizwa na jina la MICHUZI!

    ReplyDelete
  6. Na hapo YMCA ndo ulibatizwa na jina la MICHUZI. Ulikuwa mwembamba na likoti lile la brauni ilikuwa kubwa kwako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...