Home
Unlabelled
tua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh....Michuzi hao jamaa wanatisha ndugu yangu. Siyo kisanii bali kwa mambo mengine.
ReplyDeleteHawa wasanii wa muziki wa kileo, wanafanana kabisa na wale wa ngoma ya mchiriku. Sisemi mengi nikakuharibia BLOG yako lakini angalia na promotion yako ndugu yangu...hatariiiiiiii
Ndo manaa vit....haviishi bongo kwani kuna wasanii wa aina nyingi ndugu yangu. Angalia fani yako Michuzi utakuja juta.
Si mindumu humo ndani
ReplyDeletehe !
ReplyDeleteHilo basi liisimamishwa na kupekuliwa mbona wote wataishia lupango.Inaonekana kwamba bange kwa wingi sana hapo
ReplyDeleteSir Issa Huku kunapriskripshen ya bangi...sijui kama Bongo inaruhusiwa kaka...
ReplyDeleteSasa hii sio nzuri, mabasi haya hayafai kwa wasanii wetu. inabidi wapewe mabasi yaliyokwenda shule. Air con, sehemu ya kulala, yaani kama private jet zilivyo. Hii haipendezi, wasanii wamebanana namna hii, huyo promota hafai.
ReplyDeleteSasa kuzunguuka mikoa yote 12 wanne wanne kama manzese - kariakoo si hatari hiyo. Yaani humo haingii mbu lazima afe kwa moshi wa kubwa!!, Du kazi ipo
ReplyDeleteSir Issa Wewe Mwandishi wa habari safi sana...halafu unajua kweli kuchukua picha. ILE TOVUTI YA POLISI I THINK YA MARA YA PILI ILIKUWA SAHIHI....
ReplyDelete