Home
Unlabelled
bantu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapa huyo muheshimiwa wetu anamaanisha nini kutoa mfano wa miji ya Uganda, hiyo ilikuwa wapi? au alikuwa anawahutubia kina nani. John-Mwanza
ReplyDeletemichuzi, u don't know what u have done, yani nimefurahi kumsikia munishi, napenda sana nyimbo zake, ila mambo yake tu ndo yananibore kwani siku hizi yeye na mambo ya siasa na malumbano ya kisiasa ndo mwenyewe,
ReplyDeletehaya nakutakia kazi njema,
Michuzi, huyu jamaa anaitwa Munishi usiposti kabisa vitu vyake hapa, ni mchonganishi hatari sana. hafai hata kidogo anaweza kuleta maafa makubwa kwa nchi yetu. Anapenda kujitafutia umaarufu na umaarufu huo asiupatie hapa tafadhali!!!
ReplyDeleteHuyu rais wetu vipi tena mbona anatakaletea za kuleta?Kwa kweli sijamwelewa Kipanya tia katuni kuhusu hiyo speech.
ReplyDeleteMunishi siyo mtu mzuri hata kidogo, hasa kwa nchi. Siku zote haitakii mema Tanzania. Lakini pamoja na hiyo, naona raisi wetu anahitaji WASHAURI WAZURI!! Maneno mengine yanaweza kutengenza uadui bila sababu ya msingi.
ReplyDeleteMunishi siyo mtu mzuri hata kidogo, hasa kwa nchi. Siku zote haitakii mema Tanzania. Lakini pamoja na hiyo, naona raisi wetu anahitaji WASHAURI WAZURI!! Maneno mengine yanaweza kutengenza uadui bila sababu ya msingi.
ReplyDeleteMunishi siyo mtu mzuri hata kidogo, hasa kwa nchi.
ReplyDeleteSiku zote haitakii mema Tanzania. Lakini pamoja na
hiyo, naona raisi wetu anahitaji WASHAURI WAZURI!!
Maneno mengine yanaweza kutengenza uadui bila sababu
ya msingi.
Siwezi ku judge rais kutoka kwa speech hiyo, maana aloposti katunyima context, speech imeanzi kati kati, rais alikuwa anafafanua jambo katika kutembea ukiwa na cheo fulani jeshini, akaanzia vijiji vya tanzania akendelea hadi vya uganda, andeweza endelea akataja darfour hadi cairo. Sasa ujumbe wa kuvamia mbona sijausikia? Ndo mambo ya kusoma misahafu mstari mmoja badala ya sura, maana unaweza usiipate inavyotakikana.
ReplyDeleteNini maana ya kuweka speech half half? Hatuelewi alikua anaongea nini ndio akaanza hapo na pia ni topic gani ilimfanya raisi azungumsie hayo.
ReplyDeleteHuyo aliyoweka hapo kama mlokole vile. Sorry but walokole wamezidi kwa kuchukua msari mmoja tu kwenye bible na kusimama nao. Hawajali mwazo wa page unasema nini na ndio maana ukaja huo msitari na wala mwisho wake nini nini....waking'ang'ania tu na msitari mmoja...kama unataka watu waelewe kitu do not crop anything....
Sorry Michuzi but I don't get why you link us to see this edited speech
Munishi is a stupid Idiot, that's all i have to say, limbukeni halafu jamaa ni terrorist, usimuintertain kabisa huyo bwana michuzi.
ReplyDelete