Kaka Michuzi Mambo ya Canada, huu ni mtaa wangu ninoaishi. tupapenda kuja home lakini hakijaelewaka. Rama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2007

    Michuzi,
    Huyu anayejiita Rama hasemi ukweli kuhusu hiyo picha.Kwa sasa hivi Toronto/Canada hakuna snow na kuna joto zaidi ya la Dar.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 23, 2007

    Kaka hujapiga picha mpya tangu kiwinter kiingie mitini? Mbona ni karibu mwezi wa tatu sasa tangu winter iage rasmi. Ingia kazini lete vitu vya Summer bwana!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 23, 2007

    La ingekuwa kwetu hiyo baridi watu wangezaliana kama kunguni.Ingekuwa ni kukumbatiana tu.Hakuna kuachia kifua cha mtu hadi kieleweke.

    Kwa nini mtu ufe kwa baridi wakati blanketi chapa Mtu liko karibu.

    Nashangaa Canada Baridi halafu eti watu hawazaliani sana.Nenda sehemu zenye baridi Tanzania uone watu wanavyozaliana kwa wingi.Mikoa yenye baridi ndiyo inaongoza kwa kuzaliana hawasikii cha uzazi wa majira wala nini!

    Heri ufe kifuani kwa mtu kuliko ufe kwa baridi.

    Hiyo baridi ihamie kwetu ione!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...