saa nne asubuhi leo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2007

    Jama, kama $1 ilikuwa inanunuliwa kwa sh.1260 saa nne asubuhi, halafu saa nane mchana ikawa ina nunuliwa kwa sh.1265, Je, shilling imeshuka thamani au imeongezeka?!! nisaidieni jamani:-( steved.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2007

    SteveD, kama unahitaji Tshs nyingi zaidi ili kununua dola moja hapo Tshs inakuwa imeshuka thamani.

    Michuzi, hao xtreme bureau de change ni wezi wakubwa. Muda huo huo wa saa nne Masai Bureau de Change pale Samora Avenue mkabala na jengo la TTCL walikuwa wananunua dola moja kwa Tshs 1266

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 05, 2007

    Anony wa 8:16. Hao sio wezi Kaka. Control ya Pesa za kigeni ilishakuwa liberalized Kaka. Hayo ni mambo ya "Biashara Huria" Kaka.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2007

    Shilingi imepanda thamani from 1300 to 1265 kwa US$...sasa tunalipia hii tofauti kwa kupanda kwa bei ya fuel petroli sasa ni 1340 kwenda juu kwa litre moja.SIRIKALI mpo wapi? Wehere is your comment najua biashara huru lakini kwenye masuala nyeti kama energy serikali lazima iwe na msimamo manake ina affect uchumi wetu wote.Jamani wadau wa sirikali kama mpo tafadhali maoni ya ... yanahitajika

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...