Home
Unlabelled
marangu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani nakumbuka marangu waterfalls na picknic ...hivi bado watu wanaenda kufanya picknic hapo?
ReplyDeleteThe place is breath-taking! Nimewahi kwenda kwenye hizo water falls and I wished I just stayed there! Hewa iko soooo fresh na pako very greenish!
ReplyDeleteLee
HAPO WATERFALLS WENGINE TULIPATIA WACHUMBA KILA MMOJA AKIWA AMEKUJA KWA RAHA ZAKE.ULIYEKUJA KUWA MISS KILIMANJARO .......S.M.G USHANIFAHAMU.
ReplyDeleteSHADY WA MIKOCHENI BUSINESS UNAKUMBUKA MAMBO YA MARANGU.
I'M GOBSMACKED BY THAT SCENERY Thanx a lot for sharing!
ReplyDeleteMwaka 1999 nilifika hapo kwenye maporomoko ya Marangu wakati huo nikiongoza wanakambi wa kambi ya kimataifa ya vijana ya Chama cha Msalaba Mwekundu Duniani. Waliokuwepo katika kambi ile ambayo ilifanyika katika chuo cha VETA pale Moshi na pia ni watembeleaji wa blogu ya mjomba Michu tafadhali naomba tuwasiliane kupitia dr_pori@yahoo.com tafadhali.
ReplyDeleteJack Lohay????Nakumbuka kuna mwalimu alinfundisha Arusha Sec alikua anaitwa Lohay na watoto wake walikua na majina ya J J
ReplyDeletekama ni mama yako msalimie. I miss that school