haya haya tena wadau... mbiu ya mgambo ikilia ina jambo - tarehe 29 na 30\06\2007 kutakuwa na upigaji kura kupata viongozi wa jumuya ya wanablogu tanzania (JUMUWATA). Hivyo wadau someni taratibu zote za shughuli nzima zitakavyokwenda kwa kubofya hapo chini...
hima hima tumia haki yako na kupiga kura kupata viongozi wetu wa mtandao wa wabongo
imetolewa na idara ya uhusiano
JUMUWATA
ungegombea wewe ningepiga kura
ReplyDeleteHiyo ni club au ni jumuiya ya kisheria? Yaani ukiblog mpaka big brother awe anakuwatch?
ReplyDeleteNa ukiwa unaishi nje ya nchi lakini unablog mambo ya bongo unatakiwa uwe mwanachama au...hebut tuambie basi?
Tusije tukakamatwa tukitia tu mkuu hapo airport
Eee bwana mbona mi hawa jamaa siwafahamu wanablog kweli hawa????, au wamebuni mbinu ya kujitangaza kupitia kwako Michu maana wanablog wa TZ ninaowajua mimi sioni hata mmoja kugombea au si lazima uwe mwanablog kuwa kiongozi basi kama ni hivyo ngoja nikutumie na picha yangu uniweke mi nagombea "Uhasibu" wa wanablog.
ReplyDeleteThis is a great example of "ideas gone bonkers", just my own view.
ReplyDeleteWagombeaji wenyewe wamenuna sijui wamnunia nani? Wanategemea mtu awapigie kura wakiwa wamenuna, wanacheza.
ReplyDeleteMheshimiwa Issa..HABARI ZA LEO KAKA.."..kasi mpya.."..NAONA MAMBO "..YAENDA YAKIONGEZEKA.."..UMOJA NINGUVU UTENGANO NI UDHAIDU... WATCH UR BACK MZEE MICHUZI..
ReplyDeletenevermisskwamichu,
ReplyDeleteHao usio wafahamu baadhi yao ni veteran bloggers na wana very seriuos blogs. Nakuomba uzitembelee blog zao. Pia nakuomba utuorodheshee wanablog wa Tz unaowafahamu.
Asante.
wadau naomba msinishambulie mie msema kweli, huyo dada shija ana sura nzuri sijui umbo.
ReplyDeleteAaaaah mmeanza ... hii kuchagua viongozi wa jumuiya ya wanablogu ... viogozi wa nini tena jamani? Mara mtaanza ooh, ngoja tujiandikishe kama NGO, ooh ngoja tuombe michango sijui wa kuendesha jumuiya ... mambo hayataisha!
ReplyDeleteHamna chochote ... mnataka tu kuona nani zaidi kati yenu ... hachane na mambo yenu hayo!
Mimi ninavyojua kublog ni hobby sasa sijui kuwa na jumuiya ya nini tena? Na hiyo jumuiya itamsaidia nani au ni kupoteza muda wa watu?
ReplyDeleteNa live broadcast kama podomatic na Utube nazo zikiwa popular bongo wataweka jumuiya nazo.
Mwishowe mtaharibu vizuri vilivyopo kwa vile baada ya hapo mraanza kuwa na sheria. Oh usifanye hivi ...fanya hivi tu ...usifanye hili....
msianze kuanzisha indirect control au kutafuta marketing kwa kupitia migongo ya wengine. kama blog zenu hazipati watu basi hamna la maana mnalo blog.
Bongo mnapenda mambo sijui gani vile. na uongozi vile Blog nayo jumuiya!!!!!!!. mweka hazina kwenye blog !!!!! si ndio mwanzo wa kugombana? mnataka kuwa na mweka hazina wa nini? katiba ya nini?
ReplyDeleteNini kitakuafaida ya jumuia hii. Mimi kama mbongo nikiamua kujiunga na hii jumuia mafanikio yake yatakua nini?
Ha ha ha aha ha aha ha mimi yangu macho...
bongo wanajua ulaji ni kwenye vyama tu. Mtu ukitaka kutoka pitia kwenye chama au jumiya yeyote.
ReplyDeleteMwenyekiti, katibu, mweka hazina ...jumuitaya ya blob....
blog soon itakua the thing of the past jamani...mbona mlichelewa kuanza