da'monica makundi anazidi kutisha katika anga ya upambaji. hii ilikuwa sendiofu ya nanihii jana pale nssf waterfront...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2007

    Nimesikia sifa za huyo mpambaji, kusema ukweli jinsi mimi nilivyo na tabia ya udadisi ya vitu vidogovidogo katika picha....

    nampa heshima yangu yote huyo Monica. She is truly gifted...na ni bora kama ana muda aanzishe shule ili apate wafuasi watakao jivunia kwenye vizazi vijavyo ya kuwa yeye alikuwa muasisi wa yote.

    SteveD.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 22, 2007

    Hiyo ni SEND OFF!!!! Jamani sasa arusi itakuaje? Ama Kweli Bongo Party Culture umezidi!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2007

    Michuzi hii sendoff ukiondoa ghrama ya "UCHAKAVU" inakadiriwa ni kiasi ghani?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 22, 2007

    Duh, yaani nampa 100% and more! The room has taken my breath away!! Tunaomba utuwekee contact zake kwenye Harusiyangu.com

    Lee

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 22, 2007

    Hiyo send off ilikuwa safi sana ilikuwa ya bwana moja anaitwa Jimmy na Lucy, hiyo tisa mambo yote jumamosi hapo Ubungo plaza, mambo ya bongo hayo

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 22, 2007

    Hello Kaka Michuzi, je waweza nipatia contact za da Monica Makundi

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 22, 2007

    Hello Kaka Michuzi, Je naweza kupata contact za Monica Makundi

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 22, 2007

    ilikuwa ni sherehe ya kumwaga bintilucy kataraia ambaye anafunga harusi na jimmy mungai kesho. aisee niko makini na kugundua sura za watu kwani hii meza ya hapa mwanzo wa mpiga picha kuna vijana machachari hapo nawaona ingawa vipara vinawafata kwa speed mia ishirini ambapo wako na dada yao mpendwa NK. Well done Monica
    NOPE

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 22, 2007

    kweli chema chajiuza. huyu dada wala hana makeke kama Dotnata Decoration lakini mambo yake ni kiwango!
    Hebu tuoneshe na kazi za Dotnata Decorations. Manaake sio kila siku Clouds FM na magazeti ya udaku "Dotnata Decoratiooon", "Dotnata decoration". Hebu tuone huyo Dotnata afanyani.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 22, 2007

    This is a waste.Hii itaifanya ndoa yao iwe bora kuliko ya watu wengine?Hawa jamaa watakua na ndugu kibao kijiji daily bread ni ngumu ile mbaya,lets think twice.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 22, 2007

    Da Monica rocks! kazi yake inakubalika..... she knows how to do it! Alipamba ndani hadi nje ya ukumbi! Twas fabolous! Sendof ilipendeza sanaaaaaa,, Lucy Kataraiya na Jimmy Mungai... Anony June 22,2007 1:41:00 AM the sendof costed almost twenty million...Jmosi sijui itakuaje?

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 22, 2007

    Wastage of money.Hapo ukisema wahitaji ada ya mtoto kwenda shule watu hawakuchangii.

    Bongo tunazidi kuwa wajinga tu.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 22, 2007

    samahani anony hapo juu ,ukihitaji ada kama unaomba msaada au wewe ni mtoto wao ,maana hata kama matajiri wanaweza wakakataa kukusaidia mchango.Lakini kama wewe ni family kasheshe.kama wastage ya money ni zao.hivyo wengine yetu macho.Wenye wivu wajinyonge.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 22, 2007

    Wewe Anony wa June 22 2.56PM acha ufala na hizo wewe, sasa wakuchangie ili iweje, wewe ni kusaidiwa tu kila siku kwanini usichakarike kivyako utafute ada, nyie watanzania ndio maana mtakufa maskini, ni kuomba omba tu 24/7. sasa wao wameamua siku yao washerehekee, ndio meshaona wanahitaji kukupa msaada wewe. Na watatoa misaada kwa wangapi, maana waswahili mkishaona hivyo ni kupanga mistari kuomba omba, kwani wao walichakarika kusaidia dunia? Mapenzi yao na jinsi walivyopanga kutumia pesa zao ni wao na maamuzi yao, huna maadili ya kuwapangia.
    Kafanye kazi sasa, acha kusalandio vya bure.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 22, 2007

    Kaka Michuzi nitaomba kama utaweza tuwekee na picha ya harusi yenyewe hapo j'mosi, hongera Lucy sikujuwa kama ilikuwa sendoff yako nilisoma nawe primary skol, kaka michuzi bravo! gudjob, Asunta

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 22, 2007

    20,000,000 for that anony umesema tu au umeongea....there is no way hata kama hall umekodisha kwa millioni tano

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 22, 2007

    Hayawi Hayawi Yamekuwa hatimaye ndugu yangu Jimmy apata Jiko...that's what's up!...Congratulations Jimmy and Lucy.

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 22, 2007

    Wabongo mnavyojua KUJISHEBEDUA, SIWAWEZI, HAPO MMEKALIA, OOH nipe contact za Monica Makundi,namtaka Monica Makundi, namtafuta Monica akapambe harusi yangu, mtamuweza na malipo yake??????? Wabongo hamjatulia kweli nawaambia...

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 23, 2007

    wewe anon.Hizo pesa wamechangiwa na watu.Nilivyosema nilikuwa na maana watu hao hao ukiwaambia wakuchangie kupeleka mtoto shule watagoma.

    Sasa pesa zao nani kakwambia???Fikiria kabla hujaandika.Ndoa kinachotakiwa ni kudumu.Hiyo pesa yote ni upotevu wa pesa.Woye waliochanga wana ndugu wanahitaji ada,matibabu nk.Wabongo tubadilike.

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 23, 2007

    Harusiyangu.com page nzuri, ila ingemake sense kama wangeweka price estimates. Tanzania mpaka uongee na mtu wee baadae ndio akupe bei. sijui kwa nini bado tunaona kuweka prices za vitu wazi ni big deal. Website nyingi za service providers za nyumbani ni completely useless, utaona chini wameandika "for more information, please contact so and so". More information, for them, means price details.

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 23, 2007

    Anon wa 4:35 AM EAT, ni kweli kabisa unavyosema, mimi nadhani hizo zote ni njia za kukwepa kulipa kodi za mapato tu.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 23, 2007

    Hapo michuzi lazima umekula cha juu

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 24, 2007

    Mbona wapambaji wako wengi tu bongo wazuri na bei zao poa tu. Naona ni partiner wa michuzi huyu au anajitangaza kupitia michuzi.

    Nimeenda kwenye Arusi Arusha sikuamini kuwa niko bongo. Niliuliza hata wamepapiwa shilingi ngapi nilishangaa sana. Hiyo milioni Ishirini ni uongo na kama ndio bei yake basi tafuteni wako wengi wazuri na bei poa tu

    ReplyDelete
  24. jamani, nimefungua tuu hi PAGE nikashtuka na huu UKUMBI, nilijua si Tanzania. Kweli Ukumbi ni tofauti na picha za kwenye 8020fashion, Shamimu Blog.

    Naomba kama mpambaji kwenye Harusi ni huyu dada, plse naomba picha zaidi za harusi kama Bi Harusi na Bwana Harusi hawatojali kwa hili.
    nataka niomne tena ukumbi utakuwaje kwenye sura ya Harusi siku hiyo.....dada anatisha nadhani ameaga kwao...

    " Gratis " Swedish Language
    Congratulations I mean.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...