Home
Unlabelled
twin tawazzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Cha ajabu unaweza ukakuta hizo nyumba ni imara kuliko maghorofa yanayo poromoshwa dar kwa haraka haraka kutokana na hela za wizi!
ReplyDeletemghoshi samuei hongea sana ukinkumbusha kaya. yaani uwo uzwi!! wateiya tizeikesha sana kunu nyika. mmm ehe maa uko kwetu kwatama maghoofa. ushe baba nakuti ukidaha hita kuja irente kwena ni bwenija Mkapa, wadau wohena wajiteie. hongeeshasha sana imi niawa na kuja mlalo. te n'ghambia magimbi, magoghwe vighuko ivi aha? ooii kwatama kaya
ReplyDeletemichuzi plz inu coment yangu ivumutishe kabisa
o tate nane iweee,ka michu dah huku kwetu ie kwa mama lete ,basi kwa baba Nachingweaaaaaaaaaaaaaa Bongo la halfcast bro.
ReplyDeleteSamweli, haya mimi ndio maeneo yangu ya kujidai. hebu niambie, hapa ni Bumbuli, Mponde ama Soni...??
ReplyDeleteTatizo la hayo magorofa ni madirisha.
ReplyDeleteOna madirisha yalivyo madogo utafikiri shimo la choo.
Tatizo la madirisha yakiwa madogo ni kuwa hewa na mwanga haviingii vizuri
Hewa na mwanga ni kidogo sana ndani matokeo yake watu wanakuwa hawana afya nzuri ya akili ndio maana watu wengi wa Lushoto ni mafundi wa vitu vidogo vidogo kama ufundi cherehani,na fani ndogo ndogo zinazotolewa na vyuo vidogo vya ufundi kama vile vya VETA.
Watu wengi wa Lushoto wanakuwa hawana uwezo wa kusoma mambo magumu na mazito yanayohitaji akili nyingi sababu ya haya majengo.
Tatizo lingine la madirisha madogo ni kuwa mtu ukaaye humo ndani unakuwa mvivu. Muda mwingi mwili unakuwa umechoka kwa ukosefu wa hewa ndio maana Lushoto wengi magoi goi sana sababu miili inakosa hewa fresh ya kutosha Sababu hewa safi haizunguki humo ndani ya hizo nyumba.
Michuzi nenda haraka Ukaweke madirisha makubwa kwenye hizo ghorofa za Mkweo.
Tunaangalia hizi ghorofa za lushoto na mai hasband wangu haamini kama inawezekana kujenga ghorofa na matope na miti..nikamwambia these are far stronger kulikoni nyumba zao hapa UK zilizojengwa kwa mabox..upepo kiodogo tuu na mvua shida...
ReplyDeletekasema next time anavisit tz lazima nimpandishe milimani hukooo akahakikishe! Well done wanalushoto msijepitwa na fashion bureeeee...
ni jambo nimekuwa nikilifikiria siku nyingi kujenga nyumba ya namba hiyo and i must do it hata kama pembeni yake kutakuwa na ya matofali ya cement...
wewe June 22, 2007 1:01:00 PM EAT wee kwanza fika lushoto yenyewe kule hata ukikaa kwenye shimo kuna hewa wee vipi wewe unadhania kuna joto kule nenda kale matunda wacha zako na naamini hewa ya kule wewe ukifika hurudi tena.....Osie iwe utwiye izo picha naakunda picha za malalo imi niwamlalo sibuiye uko miaka kumi naakunda kuona mlalo na mzitu wa kandee kamaa ntakushukuu sana mghoshi ukizitoa mail yangu ni inu aha davidmes5@hotmail.com
ReplyDeleteOsiiiiie...
ReplyDeletehiji ghoofa n ja pae soni eeenh?
ambu nahakumbuka aha... mmmmh wanhu wa kuja kayaaaaa.... eka du osie.
ambu siteia vyedi hiji n ja ali bucha eeenh?
Jamani kwama hujawahi kuishi Lushoto usiandike kuhusu JOTO maana hatukuelewi. Kwa taarifa yako kuna wazungu wanaishi humo kwenye hiyo milima na trip zao au biashara zao ni Dar, Moshi, au Arusha. Ni kuzuri kulivyo hivyo unavyoona, huyo aliyesema akili zao ni za kutengeneza viatu, "huoni soni iwe?" watu wanajenga ghorofa ya tope, kijiji kwenu mnazo...lete picha? kaulize fundi mjenzi akwambie kusimamisha tope si mchezo, akili iliyotumika ni kubwa kuliko upeo wako wa kusema mafundi viatu. "Ntakutoa imi"----mndee wa Soni
ReplyDeleteinywi weangu ati mu waghoshi hambu wavee aho uwanga hongei maa, duu mfiiwe mbazi. Kangi mmishi mingi ziivie mtu akitambuia kishambaa. Maa imi niawa na hemkongoo!! Uyo mkapa hata haja mlalo ana handaki jakwe haja vietnam. Eka nieke maa nshezata iya. Hotatenaeee kwatama kaya, ayo magoghwe maviu oh uwo muku!!.
ReplyDeleteTiondane maa.
jamani hapo ni kama unaelekea kifungilo..kushoto waenda magamba na mazinde juu..jamani hii picha imenikumbusha mbali..baridi la lushoto..tamu lakini..
ReplyDeleteNi kweli hapa ni kama unaelekea Kifungilo. Siombali sana na Mzee mzima Ben alipo weka makazi yake
ReplyDelete