baadhi ya vichwa vya habari vilivyovutia leo kwenye 'kiu'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2007

    michuzi ninitena homa imesha aanza maana nasikie yule babu wa BOT alipita sasa isijekuwa majibu ndio yamaanza mungu amnusulu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2007

    Michuzi,tupe details za hiyo story ya Shyrose Bhanji kuwmaga machozi. Na wameweka picha alivyokuwa slimu siku hizi mnene.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2007

    Sasa kwanini hao watoto wanalia? Kulikoni?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 15, 2007

    come on mpakanjia be a man!! u miss it???? ha ha!!...She's gone, she's gone!! Ile kitu tamuuu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 15, 2007

    nimeona hii mahali tho ni ya siku nyingi lakini wapo bombaaa sana tuuu



    Asalaam Aleykum dada Shyrose Banji na Mchumba wako Mheshimiwa Jafarai Watu wanategemea kitu kikubwa sana kutoka kwenu. karibuni katika dunia ya NDOA sasa. lakini mvumiliane maana wote nyie ni Mastaaa!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 15, 2007

    Kwani kaka michu Huwezi kutukandamizia kawebsite ka hilo gazeti maana unatuacha kwenye tashtiti

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 16, 2007

    inamaana Amina Chifupa anaumwa kweli? maana hata bungeni hasikiki wala hajaonekana,Michuzi tupe habari kamili

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 18, 2007

    guys, ivi ni kweli kuwa shairoz ni mchumba wa jafari? mi nilidhani ni udaku mjue. ebu tuambiane vema mbona shairoz ni mtumzima sana. jafari si ni serengeti boys kabisa jamani! sorry najua hayanihusu lakini nauliza jamani maana wana blog nawaheshimu

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 18, 2007

    Watu wooote mmeona hadithi ya shyrose na Mpakanjia mbona ya hao polisi nyamnyam wa arusha hamuizungumzii watahakikishaje usalama wa raia hao?

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 18, 2007

    Wewe unayesema ni mkubwa...age ain't nothing but number....vijana siku hizi wanataka wasichana matured...na cougar is the next thing in now....kwa vile wanawake hawataki mwanaume wakumsupport kwa vile wameshajijenga wanachotaka ni love...
    wanawake wale wanao tafuta wafadhili na wale wanaume wanaotafuta wanawake wa kuwacontol ndio wnaenda na umri...but if the love is therre nobody cares about religion, age etc....

    Naona unashanga kwa vile uko TZ lakini nje ya nchi sehemu nyingi that is not a big deal anymore..Jambo la kawaida hilo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...