kila jioni na asubuhi siku hizi hutumika 'njia tatu' kupunguza msongamano wakati wa kwenda/kurudi makazini ambapo magari mengine huruhusiwa kupita upande wa pili wa njia nne kama hivi. kiasi imesaidia. ila ambo bado kwani wadau wengi wanashauri vijia vidogo-vidogo vingekarabatiwa na kupitisha magari kupunguza wote kutumia njia moja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kuhusu barabara za Dar,nachoshindwa kuelewa ni kwa nini wasiitwe wawekezaji kuja kuboresha njia za usafiri kwa wakazi wa jiji,badala ya kuwekeza eti kwenye maduka ya nguo au sanaa za waTz(vitu ambavyo twaweza fanya wenyewe)?Magari yanazidi kuingizwa mjini ya nini wakati barabara ni zile zile?Kuna bandari hapo ina pantoni la kwenda Kigamboni tu,kwa nini lisiwepo jingine kwa wakazi wa Kunduchi,Masaki Bahari beach nk???Nchi yetu imebarikiwa na mali asili kwanini hazitumiki ipasavyo???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...