napima urefu leo kwenye banda la idara ya vipimo wakati wa ufunguzi wa maonesho ya wiki ya utumishi wa umma yaliyoanza leo bustani ya mnazi mmoja gaden

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2007

    Kama ambavyo inglish not richabo kwako na mie sionagi vizuri na hesabu nilipata mia, hivi hapo unapima urefu au uzito kaka michu nawewe?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 18, 2007

    Braza michu tangu lini urefu ukapimwa kwa kutumia mzani? au hiyo ni teknolojia mpya. Ila sikulaumu kwani najua unaweza ukawa umelewa na ushindi wa Jk Boys.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 18, 2007

    Kwani hamuoni hicho kijitu kichwani kwake..hapo ni double anapima urefu na uzito at the same time

    bwana wangu wewe shujaa ...umeeka uzito wako hadharani hivyo...Huku tuliko kama ilivyo taboo kwa wabongo kutaja miaka yao basi huku ni tuliko ukitaka kumtukana mtu muulize anauzito gani...utasikia msonyo huo...

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 18, 2007

    Duuh! upimaji urefu kwa mizani.. hii kali kweli siku hizi! Halafu, huyo jamaa hapo anakupa moyo nini kwa kuusukuma mshale mbele zaidi ili ujione mrefu nawe?!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 18, 2007

    Nafikiri alikuwa anapimia hiyo nondo iliyo shikilia turubai hapo juu ya mzani au sio ?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 18, 2007

    Nyie watu hapo juu ni VIPOFU? kwani hamuoni hiyo kitu kama RULA hapo utosini kwa Michuzi?
    Mizani mingi ya kupima uzito wa binaadamu siku hizi ina rula ya kupimia urefu pia, na unapopimwa uzito unapimwa na urefu kwani kitaalamu uzito wa mtu unatakiwa uende proposhional na uerfu wake. Ndo mambo ya siku hizi hayo. Nyie mmezoea huki kijijini kwenu ile mizani ya rangi nyekundu ya kupimia magunia nini? Ile unayopanga vile vijiwe vyeusi vyenye tundu katikati?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 18, 2007

    Anapima urefu, angalia kibatu kilichombamiza juu ya upaa wake. Yuko mguu sawa na anapekua

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 18, 2007

    Duh! kumbe mshikaji ni kijeba kishenz!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 18, 2007

    katika kibao wanasema unapima na umri pia..haha.michuzi naona miaka 95 pale..urefu futi tatu..uzito kilo mia 50 peke yake ni kitambi.viatu nasikia unavaa namba 12.suruali kiuno 40.inabidi walete minzani inayopima ukimwi pia najua michuzi hautojitokeza mstari wa mbele kupima.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 18, 2007

    Hapo anapima uzito na urefu halafu wakicalculate Body mass index yake ndio watajua kuwa yeye ni under weight (I doubt kwa michuzi) normal weight (mhh still doubt) over weight ( I am not sure cauz I can't see his height here) obesity ( big no no no) .....

    Ndugu yangu kwanza kwa hiyo sijui semina ungetakiwa kuwa pia acticicy wa hii mambo...watanzania wengi wanahusudu sana unene...Na wanaona unene ndio afya au kitambi ndio utajiri lakini wamesahau kuwa kuna magonjwa mengi sana yanayohusiana na unene....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...