
mdau toka kwa watani wetu wa jadi ameleta ujumbe huu kupitia kwa israel saria wa ukerewe akimsaka john zambetakis, mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya voleboli na sasa ni mwalimu wa waalimu wa mchezo huo baada ya kustaafu kazi jehini
In December 1966-January 1967, I went to the Outward Bound school atLoitokitok, on the Kenya side of Mount Kilimanjaro. John and I were membersof the same team there. I have attached a photo showing our group at the time. (John is on the right end, sitting. I am not in the picture.) where and how can i contact him?
Excuse me,....did he say "on the Kenya side of mount Kilimanjaro"?Did I get that right?I wonder what is wrong with these Kenyans....Kilimanjaro is not yours guys.I hope u stop lying to the world about this.
ReplyDeleteKilimanjaro is in kenya bwana,what's wrong na nyinyi waTz?Ila najua waTz wengi elimu yenyu ni ndogo though this is so obviuos you don`t even need to be Geography expert,kama uko na macho zako safi you can see hii mountain iko wapi.
ReplyDeleteThere's a family with this name at Misufini Morogoro.
ReplyDeleteOne of them(George)is finalizing his law studies at Mzumbe University this year...can u start from here?
Actually this George looks like that John!
H
ReplyDeletewewe unayemtafuta zambetakis hujui hata kutumia google??? hebu anzia hapa http://www.tanzaniasports.com/photo/displayimage.php?album=2&pos=13
ReplyDelete---------------
NA HUYO FALA HAPO JUU ANAYESEMA KILIMANJARO IKO KENYA KWA KUANGALIA NA MACHO TU AJUE NDIO MAANA NDEGE YA KENYA AIRWAYS ILIANGUKA KWA SABABU PILOT WAKE MKENYA ALIKUWA ANAANGALIA WEATHER KWA MACHO BADALA YA KUFUATA ALICHOAMBIWA NA WATAALAMU
We Mkenya unayesema watanzania hawajui mambo ngoja nikujibu kienyeji bila utaalamu kama ulivyoongea kienyeji! Kenya tunaijua sana tena sana.
ReplyDeleteTanzania kwa taarifa yako ukikuta mtanzania yeyote yule aliyesoma na anayeongea kiingereza hata kama kibovu ujue maisha yake ni mazuri sana tofauti na Kenya ambako waongea kiingereza wengi wanalala kwenye Slums kama vile Kibera,Mathare n.k
Kwa taarifa yako Tanzania ukikuta mtu anakaa nyumba iliyoezekwa makaratasi ya nailoni au magazeti mjini ujue ni kichaa kabisa wa kulazwa wodi za vichaa tofauti na Kenya ambako mtu mzima na familia yake weenye akili timamu wanakaa nyumba ambayo imeezekwa magazeti na manailoni na wanaongea kiingereza safi kilichonyooka lakini maisha yamepinda!
Kenya watu wengi wanaishi nyumba za kupanga na wanajisifia sana kwa hilo,lakini Tanzania watu wengi wanamiliki nyumba zao na ni wachache wanapanga.
Nyumba za kupangisha Tanzania wala hazina soko sana sababu kwa watanzania wana usemi usemao cha mtu mavi hivyo hupenda kuwa na nyumba zao kuliko kupanga.Yuko tayari kuishi nyumba yake ya hovyo kuliko kupangisha jumba la nguvu la bei ndogo.
Ebu tuacheni nie wakenya sisi watanzania hatupendi maneno hata kama wakati mwingine hubishana hapa sisi kwa sisi lkn deep down tunapendana. Sisi kwetu kuna mkoa unaitwa kilimanjaro after mlima kilimanjaro. Eti "watanzania elimu ndogo"? koma wee..kwani kitu kinacho onekana kwa macho kina hitaji elimu? usinipe hasira mi sijui kutukana kwenye net ningependa tukutane uso kwa uso then it makes sense, kama wewe kweli mkenya nikupe maneno yako. Nyooooo
ReplyDeleteSorry Issa I did not mean to go that down but just cannot stand bullshit about my country/my people
Mungu ibariki tanzania, viongozi na watu wake we are the BEST!
try to reach him at johnzambetakis@yahoo.com or mob 255 754 456968.
ReplyDeleteNyinyi waTZ ni wafala sana na viongozi wenyu,you know how will it take for your claim that kilimanjaro is in TZ?Another 50years by then here kenya we have something else to sell beside mountains.
ReplyDeleteAh nyie wakenya msitupotezee muda. Jifunzeni Kiswahili sanifu kwanza, sio mnaongea utumbo hapa.
ReplyDeletenyie wakenya ndio mafara haswaa na maviongozi yenu mmekalia mambo ya ufisadi na masiasa yasiyo na mwelekeo. K wa taarifa yako we anony wa june 22 2:35 mpumbavu sana nani aliyekwambia itachukua miaka 50 ninavyokwambia hapa usa tumeshaanza kuwaelimisha hawa watu kuwa Mt Kilimanjaro upo Tanzania na wengi wameshajua kwa hiyo muache tabia yenu ya kijinga unaweza siku ukajitia mt Kilimanjaro upo kenya wakakushushua mbona upo TZ stop that behaviour kenyan
ReplyDeletempenda nchi yangu Tanzania
Nimempata anayemtafuta John, kaniahidi kutuma maoni halisi jinsi yeye na John walipokutana na jinsi anavyokumbuka kama ni Kenya au Tanzania au juu ya mlima ndipo walipokuwa.
ReplyDeleteKISUMU ilikuwa sehemu ya UGANDA. Wakenya wanaing'ang'ania. Sasa ni sehemu ya Kenya.
ReplyDeleteMOMBASA ilikwa sehemu ya mtawala wa ZANZIBAR. Wakaing'ang'ania. Sasa MOMBASA ni sehemu ya Kenya.
Hivyo hivyo sehemu za Somali leo zipo Kenya
Sasa watangaza Kilimanjaro ipo Kenya. Nadhani wanataka baada ya miaka 50, mlima Kilimanjaro uwe sehemu ya Kenya.
Sidhani kama kuna mkenya alietoa maoni hapo,kama yupo basi hii globu iko juu zaidi ya nilivyokuwa naichukulia!.Na wote mliotoa matusi jifunzeni kushindanisha hoja badala ya matusi.
ReplyDeleteNyie wote na wanafrika Mashariki, hata kama hamtaki, viongozi wenu wameshataka.Mbaya zaidi wanataka muwe Inji moja,kama watafanikiwa basi huo mlima hamtagombania tena.Wenzenu tulionje ya east afrika tukitana tuzungumzao kiswakingi au kiswahili hata kiswasomali tunafurahiana na kupigana tafu.Ni rahisi mkenya na mbongo kupatana kuliko mbongo kwa mbongo au mkenya kwa mkenya.
Mi ni mbongo,ila naomba niseme ukweli kuwa watanzania tumelala sana,tuamke sasa bila ya kumtangazia mtu kuwa tumeamka.
Nimewahi kusoma kitabu cha IT Law kinatambua website ya kenya(www.kilimanjaro.com)kama reliable source ya kupata habari za utalii wa Tanzania!!!!
ukisema utafute serengeti kwenye google search engine unakutana na firm ya waingereza wanauza vitu visivyohusiana na serengeti wala kwenye utalii pia haviusiki.
Eti michuzi unajua catch words? sasa kwenye utalii wa Tanzania kama hatutumii KLM,Serengeti na Ngorongoro as catch words twatumia nini?Mi nadhani tuamuke bila ya kutukana waliotuzidi kete kwa uzembe wetu.
Nilimsikia binti mmoja kuwa wanasafari(yeye pamoja na one of the health societies ambayo inamsponsa PhD) ya kwenda kenya kupanda mlima kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha. Nilimueleza kuwa mlima uko Tanzania nae akaniahidi ataenda kuwaeleza sponsaz wake.This suma vakeshen nimeona Tangazo la kwenda kupanda mlima Kilimanjaro uliopo Northern Part of Tanzania, unajua nilifurahi?
ReplyDeleteLakini najiuliza swali moja yawezekana vipi mtu afikie kenya lakin apande mlima Kilimanjaro bila kupita kwenye vituo vyetu vya uhamiaji?
Sidhani kama tunahitaji kupoteza nguvu zetu na busara kugombana na hao wakenya waliojitokeza kudai Mlima Kilimanjaro upo Kenya.
ReplyDeleteTanzania tumelala, na sijui tumlaumu nani. Ni kweli nchi za ulaya, marekani na hata mashariki ya kati achilia mbali Asia, wengi wanajua Mlima Kilimanjaro upo kenya. Na tayari kuna vijalada/vipeperushi vinavyotangaza Mlima Kilimanjaro upo Kenya pamoja na Mbuga za wanyama za Serengeti!
Viongozi wetu, sisi wenyewe na Mawaziri kede kede wanaohusika na sekta hiyo (utalii) wamekaa kimya!
Wakati umefika kwa Watanzania kueleza ulimwengu kwamba Mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama za Serengeti zipo Tanzania. Ni kwa namna gani tutafanya, binafsi sijui, nina hakika wadau wengine wanaweza toa michango katika hilo.
Sio Kwamba nimekaa kimya na kuridhika na dhuluma hii, hapana. Kila mara ninajitahidi kuwaelewesha hao wachache ambao katika maongezi wanakuuliza unatokea nchi gani, ukisema Tanzania wanakuambia nina mpango wa kwenda Kenya kupanda mlima Kilimanjaro na kutembelea mbuga za wanyama za Serengeti, kama haitosho, anakuonyesha na kijarida/kipeperushi kinachoelezea kwamba Kilimanjaro na serengeti in Kenya! Nachoka lakini nabaki kusisitiza kwamba wanaweza kuuona mlima wakiwa Kenya sababu sisi ni majirani, lakini ni vema akitembelea Tanzania ambapo atauona na kuupanda, pia kwamba Serengeti ipo Tanzania. Mara nyingi ushhidi wangu huwa ni ramani kwani sina vipeperushi. Kidogo nakuwa nimeokoa hii dhuluma japo kwa maelezo na ushahidi wa ramani, japo............!
Sasa basi, inabidi tuache kulaumu tu na tutafute namna ya kueleza ulimwengu kwamba Mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama za serengeti zipo Tanzania. Itachukua muda ndio lakini nina hakika tunaweza fanikiwa siku moja.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki Watanzania.
Nawakilisha.
hi
ReplyDeleteiam a zambetakis and John is my uncle. contact me thru dimplekis2@yahoo.co.in and ill gv u his contacts.....